Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,364
- 108,510
hujambo shemeji?
Miye sijambo shemeji? hivi sijui kwa nini sikukuona wewe kabla ya sister ako...:smile-big:
hujambo shemeji?
Miye sijambo shemeji? hivi sijui kwa nini sikukuona wewe kabla ya sister ako...:smile-big:
duh!Saa zingine nadhani kuridhika ni kujinyima...
Manake you meet a person kuwa naye huwezi kuachana naye unaona unajinyima..
Unabaki tu kujilaumu kwa kutoonana mapema
kusoma hujui, hata pichaaa?? hahahahahnataka kujua mahusiano yenu
0 thinkerweka picha!
sio kweli, tumekaa kimya tu!kwenye JF nzima itakua ni mimi na wewe tu but the rest ni majanga....hili si la kupinga!!! Swali la uchokozi, who made a right choice? You or the Guy?? Ijumaa njema, usijibu wakasikia
hata mimi imeshanitokea na hata jana nimeulizwa swali hilo na mamii kwenye mahakama ya kitanda ila nilijibu ndio ila nilikwepa kukubali kuwa nilijuta kwa kumtamani mwingine. kwahiyo nikamwambia nilijutia kwa kujilaumu mwenyewe....politics u know?
tawire..kama signature yangu below inavyosomeka, kwamba kila mtu kwa wakati wake hasa awapo katika tafakuri ya nafsi yake, hujiliwa na dhamira mbaya. Sio matakwa yako wala sio shetani but is nature! Ni matamanio tu ya kidunia, huwezi kuzuia ila tunaweza kuyapunguza tu. Mkeo ni mkeo na mumeo ni mumeo. Full stop jifunze kuweza kumvumlia ulienae na kumrekebisha ikiwezekana na sio kwa nguvu wal akwa kukomoana. Usikubali kila kitu bali pia usipinge kila kitu. Kuwa muwazi wa kuomba msamaha na kumaanisha kuwa yamiesha, sio useme yameisha huku yapo bado moyoni, sio kila kosa au tofauti ndogo tu basi uiwekee kikao na kuanza kusutana, mengine yapotezeee, hajaweka maji bafuni basi isiwe shida, nenda chukua ndoo kachote weka bafuni oga na endelea na ratiba nyinge.
Mumeo kachelewa kurudi basi mpe pole akirudi, muulize kwa ustaarabu achana na jazba na kuhusianisha na mambo mengine yalipopita,
pia kama ni kosa au ni tofauti ikijitokeza hakikisha huingizi na mambo yaliyopita, deal with the current issue alone. Sio useme hio ndio tabia yako hata juzi uliofanya hivi na vile nikakkaaa kimya tu!!! Kwa kufanya hivi utakua wewe ni wa kutamani kila mtu
mfano ni mimi mwenyewe elli wa jf; mke wangu kwa taratibu zake za maisha na mihangaiko hulazimika wakati mwengine kufika nyumbani saa tatu hadi tatu na nusu, huwa siulizi alikotoka na hata kama nikiuliza nauliza tu kumkumbusha asichelewe sana kwa ajili ya watoto. Imani yangu ni kwamba hata kama ana michezo yake anaifanya kwa kumzuia awahi kurudi nyumbani haimaniishi nimemzuia asifanye.
Ni ngumu hata kuizoea but kikubwa ni kumuomba mungu tu
KICHENI PATI ya bure kwa wadada wote wa JF..Kama signature yangu below inavyosomeka, kwamba kila mtu kwa wakati wake hasa awapo katika tafakuri ya nafsi yake, hujiliwa na dhamira mbaya. Sio matakwa yako wala sio shetani but is nature! Ni matamanio tu ya kidunia, huwezi kuzuia ila tunaweza kuyapunguza tu. Mkeo ni mkeo na mumeo ni mumeo. Full stop Jifunze kuweza kumvumlia ulienae na kumrekebisha ikiwezekana na sio kwa nguvu wal akwa kukomoana. Usikubali kila kitu bali pia usipinge kila kitu. Kuwa muwazi wa kuomba msamaha na kumaanisha kuwa yamiesha, sio useme yameisha huku yapo bado moyoni, sio kila kosa au tofauti ndogo tu basi uiwekee kikao na kuanza kusutana, mengine yapotezeee, hajaweka maji bafuni basi isiwe shida, nenda chukua ndoo kachote weka bafuni oga na endelea na ratiba nyinge.
Mumeo kachelewa kurudi basi mpe pole akirudi, muulize kwa ustaarabu achana na jazba na kuhusianisha na mambo mengine yalipopita,
Pia kama ni kosa au ni tofauti ikijitokeza hakikisha huingizi na mambo yaliyopita, deal with the current issue alone. sio useme hio ndio tabia yako hata juzi uliofanya hivi na vile nikakkaaa kimya tu!!! Kwa kufanya hivi utakua wewe ni wa kutamani kila mtu
Mfano ni mimi mwenyewe Elli wa JF; mke wangu kwa taratibu zake za maisha na mihangaiko hulazimika wakati mwengine kufika nyumbani saa tatu hadi tatu na nusu, huwa siulizi alikotoka na hata kama nikiuliza nauliza tu kumkumbusha asichelewe sana kwa ajili ya watoto. Imani yangu ni kwamba hata kama ana michezo yake anaifanya kwa kumzuia awahi kurudi nyumbani haimaniishi nimemzuia asifanye.
Ni ngumu hata kuizoea but kikubwa ni kumuomba MUNGU tu
duh!
pacha umeongea na mahisia mwe!
kwahiyo ukitendwa na wewe unatenda. do you think its fair for yourself?Itanitokea endapo niliyenae atanitenda
matatizo huongeza busaraUmeonekana ni mtu mwenye busara
nimeshaisoma picha ndio maana nimekuwa mpolekusoma hujui, hata pichaaa?? hahahahah