Kwa namna Madeleka anavyomtukana Dr. Makakala mitandaoni, itoshe kusema Makakala ana roho ya uvumilivu. Uongozi ni Busara na hekima, hongera mama

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
877
4,106
Mfumo wetu wa nchi kiongozi ni mfalme na yeyote atakayenyanyua mdomo atachukuliwa hatua. Mfumo wa majeshi ndiyo mbaya kabisa kwa sababu wanaamini kwamba wapo juu ya kila jambo.

Dr. Makakala ni kiongozi wa taasisi ya usalama nchini anayepitia magumu kutoka kwa wale wanaotamani aondolewe kwenye nafasi yake.

Amekutana na matusi ya kila aina lakini hakuna siku amewahi kusikika adharani akipambana na wananchi

Ni kiongozi pekee aliyebaki kwenye taasisi za kijeshi ambaye aliteuliwa na Magu. Pamoja na nguvu kubwa iliyokuwa inatumika na vitisho wakati wa JPM lakini huyu mama hakuna Sehemu kuna sauti yake akielekeza mtu kuadhibiwa. Miaka yote amekuwa kimya na hii naamini ndiyo sababu Mhe. Rais wa sasa hakuona umuhimu wa kumtoa au kumpangia kazi nyingine.

Mimi nimetembea Duniani na mara kadhaa nasema hapa kuwa Uhamiaji ya kabla ya Makakala ilikuwa imeoza. Leo hii hakuna fedha ya serikali isiyolipwa uhamiaji kwa control number, hakuna huduma ambayo wamejificha nayo ofisini bali huduma zao zote wanazitoa mtandaoni kupitia www.immigration.go.tz tofauti na awali.

Visa online zimesaidia sana kwenye support ya royal tour, hakuna mtalii aliyelalamikia huduma zetu pamoja na ujio wa wageni wengi. Kipindi cha COVID nakumbuka huyu mama aliweza kutumia sana hekima wageni wakaendelea kuwepo nchini hata baada ya visa zao kuisha. Kwa tuliokuwa na connection ya wageni that time tutakuwa mashahidi. Mimi kuna wageni nilikuwa nakaa nao kwangu wameishiwa lakini sikuwahi kulipia huduma ya ziada badala ya kwenda Mweza kuwaongezea muda and that time kumbuka alikuwepo JPM. Nimejifunza mengi sana kwa reform za huyu mama

Ninapoona mMadeleka anamtusi kila siku napata wasiwasi may be wapo watu nyuma ya madeleka wanataka kupewa hii nafasi? Wakipewa wataweza kwenda na kasi hizi au watarudisha Idara hii kule tulipotoka?


Lakini hata kama wanataka nao wapewe hii nafasi wanaamini Madeleka ni mtu sahihi wa kupush agenda zao. Wakati mwingine najiuliza Makakala anawanyima familia ya Madeleka msosi ? Mwisho, najiuliza Madeleka kubishana na mtu asiyejibu na anayeendelea kuchanja mbuga siyo ishara tosha kwamba amedharauliwa?

Hakuna nishani inayotolewa kwa wingi wa matusi na Majungu. Mwacheni mama wa watu atembelee V8 hadi siku aliyemteua atakapoona ametosheka na usaidizi wake. Hao wanaoalalamika vyeo vimetolewa kwa upendeleo naamini ndio hao hao waliomtuma Madeleka. Yawezekana walishajipanga wapande juu wenzao wakaona nia yao mbovu na sasa wamepandisha wenye nidhamu........Kwa sisi tuliopita jeshini miaka 1990 hakuna kulalamika wala kugoma , ikibainika unarejeshwa uraiani ukawe mwanasiasa.

Makakala chapa kazi kwanza ukujiteua mwenyewe uliteuliwa na Mhe. Rais. Endelea kuwapuuza hao wanaokuchafua huku ukimtegemea Mungu katika kazi na maisha binafsi.
 
Ni adhabu kubwa na kali sana kuzaliwa na akili timamu Tanzania halafu ukafuatilia mambo ya hii nchi!.

Wapumbavu kwenye hii nchi wanaishi kama wafalme!.

Ukiona huyo Makakala amekaa kimya tambua anaogopa kwenda mahamakamani kwasababu ananuka rushwa!,Uchafuliwe na kutukanwa mitandaoni usiende mahakamani au polisi kushitaki?

Narudia tena :-

"Wapumbavu kwenye hii nchi wanaishi kama wafalme!."
 
Ni adhabu kubwa na kali sana kuzaliwa na akili timamu Tanzania halafu ukafuatilia mambo ya hii nchi!.

Wapumbavu kwenye hii nchi wanaishi kama wafalme!.

Ukiona huyo Makakala amekaa kimya tambua anaogopa kwenda mahamakamani kwasababu ananuka rushwa!,Uchafuliwe na kutukanwa mitandaoni usiende mahakamani au polisi kushitaki?

Narudia tena :-

"Wapumbavu kwenye hii nchi wanaishi kam

Ni adhabu kubwa na kali sana kuzaliwa na akili timamu Tanzania halafu ukafuatilia mambo ya hii nchi!.

Wapumbavu kwenye hii nchi wanaishi kama wafalme!.

Ukiona huyo Makakala amekaa kimya tambua anaogopa kwenda mahamakamani kwasababu ananuka rushwa!,Uchafuliwe na kutukanwa mitandaoni usiende mahakamani au polisi kushitaki?

Narudia tena :-

"Wapumbavu kwenye hii nchi wanaishi kama wafalme!."
Kwamba unaamini kwenda mahakamani ndio njia sahihi? Wapo watu wenye roho wa Mungu ambao kwao uvumilivu ni jibu tosha.
 
Ni adhabu kubwa na kali sana kuzaliwa na akili timamu Tanzania halafu ukafuatilia mambo ya hii nchi!.

Wapumbavu kwenye hii nchi wanaishi kama wafalme!.

Ukiona huyo Makakala amekaa kimya tambua anaogopa kwenda mahamakamani kwasababu ananuka rushwa!,Uchafuliwe na kutukanwa mitandaoni usiende mahakamani au polisi kushitaki?

Narudia tena :-

"Wapumbavu kwenye hii nchi wanaishi kama wafalme!."
Well said
 
Madeleka ni wakupuuzwa tu maana inaonekana ana chuki binafsi na huyu mama wa uhamiaji. Maana kila siku anamshambulia mitandaoni bila sababu ya msingi. Mwanaume mzima hovyo kabisaa. Anafanya mambo ya kitoto sana .
 
Wengine hatuwajui hao watu wa Dasalama. No akina nani hao? Ufafanuzi please hususani huyo Madeleka na anamtukanaje na kwanini amtukane huyo mama?
 
Makakala ni kiongozi shupavu, mchapakazi na mzalendo wa kweli wa nchi hii.

Mti wenye matunda mazuri ndio unaorushiwa mawe.

Madeleka ni miongoni mwa wapumbavu wachache waliopo nchini kwetu. Anatumika kumchafua mwenzake, ila atashindwa na kuchafuka yeye.
 
matusi yenyewe yakwapi mbona porojo tupu.
  • kwani uhamiaji hawakutajwa na CAG,
  • umetokea upigaji uhamiaji CAG ametoa taarifa hadharani anatokea kenge mmoja kutetea wezi.
-wezi waliotajwa wana nguvu wana mabilioni huwezi kuwashitaki, tunatokaje sasa apa tutulie kama machawa wa uvccm,
- mwache mwanasheria msomi atimize wajibu wake wakupambana na majizi mafisadi kama mtanzania wa kawaida na kama katiba inavyoruhusu,
-na wewe mtoa porojo endelea kushabikia mafisadi sababu na wewe fisadi tu au unataka gawio lakifisadi nchi ya kwetu sote.
 
Madeleka alikuwa mtumishi jeshi la uhamiaji na mkewe Bado yupo hukohuko , asikilizwe
Kwa hiyo mke wake anataka kuchukua nafasi ya Makakala? Hasa kama anataka kuchukua hiyo nafasi si amfuate anayeteua?

Hoja yangu mimi nikupersonalize issue za taasisi kwa mgongo wa usiyempenda.

Kwa mfumo wa majeshi vyeo vina utaratibu wake siyo mtu mmoja anayepitisha; na Madeleka kama alikuwa Jeshini atakuwa shahidi........vyeo vya jeshi vinatolewa kisheria siyo KINAFIKI........

Aweke sheria iliyokiukwa kwenye tweeter account yake tujue ndipo tumuunge mkono. .

Huyu mwamba amepoteza focus na usishangae anatafuta popularity akagombee ubunge apige pesa siku ziende
 
Ungeweka hayo matusi lingekuwa Jambo la maana Sana. Maana umeongea mengi ila matusi hujaweka, maana kumtukana mkuu wa magereza sio Jambo dogo Tena mtandaoni.
 
Ni adhabu kubwa na kali sana kuzaliwa na akili timamu Tanzania halafu ukafuatilia mambo ya hii nchi!.

Wapumbavu kwenye hii nchi wanaishi kama wafalme!.

Ukiona huyo Makakala amekaa kimya tambua anaogopa kwenda mahamakamani kwasababu ananuka rushwa!,Uchafuliwe na kutukanwa mitandaoni usiende mahakamani au polisi kushitaki?

Narudia tena :-

"Wapumbavu kwenye hii nchi wanaishi kama wafalme!."
Sio kila mtu akitukanwa aende mahakamani wewe inaonekana ni wale watu wanaopenda kesi
 
Kwa hiyo mke wake anataka kuchukua nafasi ya Makakala? Hasa kama anataka kuchukua hiyo nafasi si amfuate anayeteua?

Hoja yangu mimi nikupersonalize issue za taasisi kwa mgongo wa usiyempenda.

Kwa mfumo wa majeshi vyeo vina utaratibu wake siyo mtu mmoja anayepitisha; na Madeleka kama alikuwa Jeshini atakuwa shahidi........vyeo vya jeshi vinatolewa kisheria siyo KINAFIKI........

Aweke sheria iliyokiukwa kwenye tweeter account yake tujue ndipo tumuunge mkono. .

Huyu mwamba amepoteza focus na usishangae anatafuta popularity akagombee ubunge apige pesa siku ziende
Mbona ghafla chawa wa Makalala wamekuwa wengi? Kuna bomu kafanya anataka ku -pre empty?
 
Mfumo wetu wa nchi kiongozi ni mfalme na yeyote atakayenyanyua mdomo atachukuliwa hatua. Mfumo wa majeshi ndiyo mbaya kabisa kwa sababu wanaamini kwamba wapo juu ya kila jambo.

Dr. Makakala ni kiongozi wa taasisi ya usalama nchini anayepitia magumu kutoka kwa wale wanaotamani aondolewe kwenye nafasi yake.

Amekutana na matusi ya kila aina lakini hakuna siku amewahi kusikika adharani akipambana na wananchi

Ni kiongozi pekee aliyebaki kwenye taasisi za kijeshi ambaye aliteuliwa na Magu. Pamoja na nguvu kubwa iliyokuwa inatumika na vitisho wakati wa JPM lakini huyu mama hakuna Sehemu kuna sauti yake akielekeza mtu kuadhibiwa. Miaka yote amekuwa kimya na hii naamini ndiyo sababu Mhe. Rais wa sasa hakuona umuhimu wa kumtoa au kumpangia kazi nyingine.

Mimi nimetembea Duniani na mara kadhaa nasema hapa kuwa Uhamiaji ya kabla ya Makakala ilikuwa imeoza. Leo hii hakuna fedha ya serikali isiyolipwa uhamiaji kwa control number, hakuna huduma ambayo wamejificha nayo ofisini bali huduma zao zote wanazitoa mtandaoni kupitia www.immigration.go.tz tofauti na awali.

Visa online zimesaidia sana kwenye support ya royal tour, hakuna mtalii aliyelalamikia huduma zetu pamoja na ujio wa wageni wengi. Kipindi cha COVID nakumbuka huyu mama aliweza kutumia sana hekima wageni wakaendelea kuwepo nchini hata baada ya visa zao kuisha. Kwa tuliokuwa na connection ya wageni that time tutakuwa mashahidi. Mimi kuna wageni nilikuwa nakaa nao kwangu wameishiwa lakini sikuwahi kulipia huduma ya ziada badala ya kwenda Mweza kuwaongezea muda and that time kumbuka alikuwepo JPM. Nimejifunza mengi sana kwa reform za huyu mama

Ninapoona mMadeleka anamtusi kila siku napata wasiwasi may be wapo watu nyuma ya madeleka wanataka kupewa hii nafasi? Wakipewa wataweza kwenda na kasi hizi au watarudisha Idara hii kule tulipotoka?


Lakini hata kama wanataka nao wapewe hii nafasi wanaamini Madeleka ni mtu sahihi wa kupush agenda zao. Wakati mwingine najiuliza Makakala anawanyima familia ya Madeleka msosi ? Mwisho, najiuliza Madeleka kubishana na mtu asiyejibu na anayeendelea kuchanja mbuga siyo ishara tosha kwamba amedharauliwa?

Hakuna nishani inayotolewa kwa wingi wa matusi na Majungu. Mwacheni mama wa watu atembelee V8 hadi siku aliyemteua atakapoona ametosheka na usaidizi wake. Hao wanaoalalamika vyeo vimetolewa kwa upendeleo naamini ndio hao hao waliomtuma Madeleka. Yawezekana walishajipanga wapande juu wenzao wakaona nia yao mbovu na sasa wamepandisha wenye nidhamu........Kwa sisi tuliopita jeshini miaka 1990 hakuna kulalamika wala kugoma , ikibainika unarejeshwa uraiani ukawe mwanasiasa.

Makakala chapa kazi kwanza ukujiteua mwenyewe uliteuliwa na Mhe. Rais. Endelea kuwapuuza hao wanaokuchafua huku ukimtegemea Mungu katika kazi na maisha binafsi.
Tatizo bwana afisa uhamiaji umekuja kama chawa wa huyo boss wako. Itoshe kusema umeandika kipuuzi japo ungeweza kuwasilisha hoja yako vizuri tu.

Kama huyo mama ndio amekutuma na anakuamini basi naanza kumuelewa bwana Madeleka.
 
Back
Top Bottom