FaizaFoxyNaam said:Mimi nilijua Faiza ni 'ke', lakini jinsi ulivyoitikia "Naam" , jinsi yako sivyo nilivyodhani. Nilikuita uone mazingira anayokumbana nayo mwalimu.
ona mwenyewe
angalia madudu ya chama chako hayo
Mimi nilijua Faiza ni 'ke', lakini jinsi ulivyoitikia "Naam" , jinsi yako sivyo nilivyodhani. Nilikuita uone mazingira anayokumbana nayo mwalimu.
Hivi Sita na wajumbe wake wa BMK huwa hawazionagi picha hizi
Madudu yepi?
Matusi ya nini mrembo? Sikuona jambo lilokufanya kukunja sura. Ngoja nikusubiri kule kwa kupunguza presha, kitaeleweka.Hujui Kiswahili.
Mlidanganywa kuambiwa eti mwanamke hajibu "Naam".
Punguani wahed.
Leo asbh nimesikia huko shinyanga walimu wameamua kuwa bodaboda chezea hali kama hii.Hahaha dah kha mi naacha kazi