Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,638
- 697,929
Kuna watu kwenye hii dunia na hili taifa tungewakatia ili wasife mpaka wajibu madhambi yao, wakiri, watubu, wahukumiwe, kisha ndio wafe.
Kuna wengi tungewafanyia hivyo, maana mtu anaivuruga jamii kwa maslahi ya wachache halafu anaondoka na kutuachia shida za kila aina!
Watu wa namna hii walipaswa zile dakika zao za mwisho zishikiliwe mpaka hukumu ya haki juu yao ifanyike ndio wakate roho, dunia ingekuwa mahali salama sana.
Kwamba watu wangekuwa na tafakuri kubwa kabla ya kuchukua maamuzi fulani kwakuwa wangetambua wazi kabla ya kukata roho hukumu ingewahusu.
Najiandaa kwenda visiwani na chombo cha mchana nikawahi maziko!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wengi tungewafanyia hivyo, maana mtu anaivuruga jamii kwa maslahi ya wachache halafu anaondoka na kutuachia shida za kila aina!
Watu wa namna hii walipaswa zile dakika zao za mwisho zishikiliwe mpaka hukumu ya haki juu yao ifanyike ndio wakate roho, dunia ingekuwa mahali salama sana.
Kwamba watu wangekuwa na tafakuri kubwa kabla ya kuchukua maamuzi fulani kwakuwa wangetambua wazi kabla ya kukata roho hukumu ingewahusu.
Najiandaa kwenda visiwani na chombo cha mchana nikawahi maziko!
Sent using Jamii Forums mobile app