airmax JF-Expert Member Oct 14, 2022 871 949 Jan 18, 2024 #1 Tumeruhusuje KQ kutua Dar kirahisi namna hii?!!! Ona sasa....tungewafugia hadi wakiri "Ki-Mbwa"... Attachments VID-20240118-WA0011.mp4 17.1 MB
Mbaga Jr JF-Expert Member May 28, 2018 19,136 41,733 Jan 18, 2024 #2 Yupo sahihi kwa 100% na tutafungwa mechi zote mbili zilizobakia
S Somi JF-Expert Member Feb 7, 2009 3,609 4,361 Jan 18, 2024 #4 Yupo sahihi kabisa na ukitaka huu utani wa ugomvi uishe waje watu serious tff sio wapiga dili . Waliopo sasahivi ni wapiga dili na kuvizia matukio .
Yupo sahihi kabisa na ukitaka huu utani wa ugomvi uishe waje watu serious tff sio wapiga dili . Waliopo sasahivi ni wapiga dili na kuvizia matukio .