Kwa namna hii kwanini wanafunzi wasifeli

Kwa namna hii kwanini wanafunzi wasifeli

Tunapaswa tumpongeze huyo mwalimu anajituma aiseeee

Walimu wanajitolea saaana
Ila serikali haiwathamini.

Yawezekana akawa anafundisha masomo 5.

#walimu wathaminiwe
#walipwe mishahara mizuri.
 
Huyu ticha akikalia sofa lako lazima litoboke!Kidumu chama cha mapinduzi!
 
Back
Top Bottom