Kwa mujibu wa sheria za nchi, Manara na bi mdogo bado ni mke na mume, ndoa huvunjwa mahakamani. Manara mahakamani mkaanikane ya ndani

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
12,009
20,683
Kwa sheria za nchi, ndoa ya Manara na bi mdogo wake waliyevurugana bado ni halali, talaka, kwa sheria za Tanzania, inatolewa mahakamani baada ya mahakama kujiridhisha na sababu za kuomba talaka.

Yale mambo ya kumtamkia mke hayatambuliki kisheria.

Kama gari za Manara lina breki za upepo mpaka dereva apampu, bi mdogo atatuanikia pale kisutu

Manara bado unalo!
 
Sisi waislamu tunamalizana wenyewe hatuendi mahakamani,labda dini zingine,
Yaani mkubaliane wenyewe mkamtaarifu sheikh aweke baraka zake kwa niaba ya ALLAH halafu kuachana twende huko kwa court😳😳😳
 
Sisi waislamu tunamalizana wenyewe hatuendi mahakamani,labda dini zingine,
Yaani mkubaliane wenyewe mkamtaarifu sheikh aweke baraka zake kwa niaba ya ALLAH halafu kuachana twende huko kwa court😳😳😳
- Kuna sheikh mmoja hivi aliwahi kufafanua hili vizuri sana, ila Sheria ya ndoa imetoa sbabu zipi Ili ndoa ivunjike
 
Kwa sheria za nchi, ndoa ya Manara na bi mdogo wake waliyevurugana bado ni halali, talaka, kwa sheria za Tanzania, inatolewa mahakamani baada ya mahakama kujiridhisha na sababu za kuomba talaka.

Yale mambo ya kumtamkia mke hayatambuliki kisheria.

Kama gari za Manara lina breki za upepo mpaka dereva apampu, bi mdogo atatuanikia pale kisutu

Manara bado unalo!
Ndoa za kikristo ndo humalizwa mahakamani na sio za kiislamu

Sisi dini yetu imekamilika
Yni ndoa ameleta Mungu ila talaka tukaitafute mahakamani tena kwa sheria za binadamu ,hatupo ivo sisi waislamu kma mke kazingua unamuacha on the spot
 
Ndoa za kikristo ndo humalizwa mahakamani na sio za kiislamu

Sisi dini yetu imekamilika
Yni ndoa ameleta Mungu ila talaka tukaitafute mahakamani tena kwa sheria za binadamu ,hatupo ivo sisi waislamu kma mke kazingua unamuacha on the spot
Unajua kuna watu, hata hizo sheria za ndoa hawazijui, wanaandika wasivyovijua.
 
Back
Top Bottom