Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 9,284
- 29,055
Miaka hyo uboyzn maji yalikua mengi sema ya baridi kinoma, kupiga mwezi ilikua kawaida tu
Wiki hivi nakula vitini chuo bataNiliingia kwenye msala flan ambao hatma yake iliamuliwa baada ya siku 30, ulikuwa msala ambao ungeathiri hata maisha yangu kiujumla.
Nlijaa stress sana hicho kipindi nasubiri hatma, nilikaa wiki 2 bila kuoga nikaja kuoga mara 1 nikakaa tena wiki 2, baada ya kujua ule msala haupo tena ndio nikajirudi.
Nilikuwa na msongo wa mawazo (depression) Sikuwa na nguvu hata ya kujijali usafi nilikuws nanawa tu na kupiga mswaki (i lost the energy to give a damn about it)
yapo, sambamba na vyoo vya kulipia. Ila biashara ya kuoga njiani bado haijatamalaki njiani. Siku mtu akianzisha ataigwaHivi hakunaga mabafu ya kulipia njiani au
Kazi nzito kinyama, muda was kulala ni masaa 2-3.🤣🤣sasa kama n hvo s ulikua unanuka kibeberu beberu mkuu.....mswaki ulikua unakumbuka lqkini
Wacha tu mkubwa😂😂😂, ukiamka nduki site, unatafuta Chaka lako😂😁😁😁😁
Ndo nani🤔😂😂Eti umependwaga na binti mauA
O level mimi 47 days Arusha huko.Niliingia kwenye msala flan ambao hatma yake iliamuliwa baada ya siku 30, ulikuwa msala ambao ungeathiri hata maisha yangu kiujumla.
Nlijaa stress sana hicho kipindi nasubiri hatma, nilikaa wiki 2 bila kuoga nikaja kuoga mara 1 nikakaa tena wiki 2, baada ya kujua ule msala haupo tena ndio nikajirudi.
Nilikuwa na msongo wa mawazo (depression) Sikuwa na nguvu hata ya kujijali usafi nilikuws nanawa tu na kupiga mswaki (i lost the energy to give a damn about it)
Day ko ilikuwa una kula msuli kila saa😂😃, Hadi ukaja na I'd ya mchafu kuoga😂😃.O level mimi 47 days Arusha huko.
Reason: Pressure ya NECTA
Yap ni kweli. Pressure ilikuwa juu kinoma duuhDay ko ilikuwa una kula msuli kila saa😂😃, Hadi ukaja na I'd ya mchafu kuoga😂😃.
👉Au so yako😃😂
Kuna watu SI walikuwa bize na movie, mixer playing games tu😂😃Yap ni kweli. Pressure ilikuwa juu kinoma duuh
The old days 😅
Kwanza una muogea Nani??uraibu nao ukifika pabaya unamfanya mtu aone hata kuoga kunaingilia ratiba zake
Nimeambiwa nakupenda wewe na ulinikataa halafu nikaenda kwa Mwachiluwi akanikataa halafu eti nikaenda kwa Mjep sijui kwanini wanawake baadhi humu wanadhani nashida nawatu humu mie sina ilikuwa long time sasa na wangu na sipendi kuchanganya mafile na huku hakuna lolote lile nintapata humuNdo nani🤔😂😂
Lenie ona Sasa🤣😂Nimeambiwa nakupenda wewe na ulinikataa halafu nikaenda kwa Mwachiluwi akanikataa halafu eti nikaenda kwa Mjep sijui kwanini wanawake baadhi humu wanadhani nashida nawatu humu mie sina ilikuwa long time sasa na wangu na sipendi kuchanganya mafile na huku hakuna lolote lile nintapata humu
Wewe mambo goodmorning mpembaLenie ona Sasa🤣😂
😁😁sio poa harakati hzo bila shaka hyo ikua trip ya kuelekea madagascar😁Kazi nzito kinyama, muda was kulala ni masaa 2-3.
👉Halafu Tulikuwa wengi mtingoni😂😂
Weka tuweke hiyoo😂🤣🤣, ukisepa ndo imeishaaa😂😂🤒.😁😁sio poa harakati hzo bila shaka hyo ikua trip ya kuelekea madagascar😁
😁😁 that was a big momentsWeka tuweke hiyoo😂🤣🤣, ukisepa ndo imeishaaa😂😂🤒.
👉So haikuwa kulaza damu, zaidi ya kukomaaa😂🤣.
👉Watu waliiba Hadi nguo zao🤣😂🤒