George Charles007
Member
- Mar 10, 2024
- 93
- 179
Wana JF ningependa tulikunjue hili jamvi pamoja ase!
Kuna madhara gani ya kukaa muda mrefu bila ya kuwa na mahusiano?
Kuna madhara gani ya kukaa muda mrefu bila ya kuwa na mahusiano?
Mahusiano kivipi? Kufanya ngono au? Na muda mrefu kwako ni miaka mingapi?Wana JF ningependa tulikunjue hili jamvi pamoja ase!
Mahusiano kwa maana ya relationship.Mahusiano kivipi? Kufanya ngono au? Na muda mrefu kwako ni miaka mingapi?
Sije ukawa pyschopath we jamaaUkiacha Upwiru sijaona faida wala changamoto yoyote ya kuwa au kutokuwwa kwenye mahusiano
Kama hivyo vitu viwili unaweza kubalance, basi fresh hakuna tatizo lolote la kutokuwa kwenye mahusiano
Usije ukapata kutu mkuu😀
Si kukaa mda mrefu inamaana viungo havitumiki😀Kutu kiaje tena?
MMhh kuna kuungua mze!Hamna side effects. Sema upwiru ukizidi shuka Riverside Zambezi Bar fanya muhamala.
SanaUnakuwa na kisirani na hali ya kutojiamini.
Unaweza kukaa kwenye mahusiano na mpenzi wako kwa muda gani bila kufanya?Si kukaa mda mrefu inamaana viungo havitumiki😀
Una muda gani sheikh?Hakuna madhara yoyote especially kwa wanaume sijui kwa wanawake.
Mimi mmoja wapo ni mzoefu wa hiyo hali.
Ni kweli kabisa wala hakuna madhara yoyoteUkiacha Upwiru sijaona faida wala changamoto yoyote ya kuwa au kutokuwwa kwenye mahusiano
Kama hivyo vitu viwili unaweza kubalance, basi fresh hakuna tatizo lolote la kutokuwa kwenye mahusiano
Kwani unajiokotea tu yoyote, imekuwa nyanya?Mnawezaje kuwa single!!🤷🤷🤷
Matumizi mabaya ya rasilimali watu.