Kibenje KK
JF-Expert Member
- May 28, 2016
- 267
- 381
Hii ni Moja ya biashara nzuri mnonahitahitaji kuanzisha biashara ya juis za matunda,naomba msaada wa mchanganuo na location nzuri
shukurani mkuu,huwa napitia page yakoHii ni Moja ya biashara nzuri mno
.
Unaweza Kuanza kwa kutembeza mitaani au Kwenye maofisi, anza na dumu 2 zenye ladha tofauti, kuna mtu atataka umchanganyie, mwengine atapenda moja zaidi.
.
Pia jitahidi iwe na ubaridi vizuri maana ndio inayopendwa zaidi. .
.
Pia hakikisha usiuze juice iliyolala ili kuepusha mtu kuumwa tumbo.
MAMBO YA KUZINGATIA.
USAFI
Usafi binafsi kwako muuzaji, usafi wa vyombo na mahali unapoandalia juice.
.
SOKO
Soko ni Kubwa, mtaani, masokoni, kwenye maofisi, kwenye Migahawa na shughuli mbalimbali.
BEI
Tengeneza za kuanzia Tsh 500_5000 na zaidi ukijenga jina
MAHITAJI
Blender heavy duty ni zuri zaidi na litadumu, package nzuri, mirija, fridge, maji masafi, chujio, vyombo vinginevyo
TENGENEZA JUICE PENDWA
Juice pendwa ni Maembe, maparachichi, Passion, Ukwaju, Ubuyu, Rosella, juice ya Tende, juice pendwa ya miwa na Smoothies
CONSISTENCY (Usiache)
Fanya kwa muendelezo Mpaka ujenge jina.
.
PANUA SOKO, FANYA KWA UKUBWA.
Usiogope kuomba tenda kwenye Migahawa ya kuwa muuzaji wa juice. Migahawa mingi hawatengenezi juice, wewe nenda waombe kuuza juice kwa wateja wanaonujua chakula.
.
TENGENEZA JUICE KWA ODA.
.
Kwenye sherehe zote omba nafasi ya kutengeneza juice, iwe ni kipaimara au harusi omba nafasi. Kama sherehe ni kubwa omba wakulipe Advance kwanza.
.
Hii ni biashara nzuri unayoweza kuanza sasa na kuanza na kuanza kutengeneza faida.
.
Unatamani kujifunza kuhusu hii biashara kiundani? Kuna vitabu vya jinsi ya kutengeneza aina mbalimbali za juice, mbinu, mauzo na masoko.
........
Mawazo mbalimbali ya biashara pitia page yangu ya instagram ya @kelvinkibenje utashukuru
Kiongozi naomba unipe uzoefu wako wa hii biashara ya nguo za watoto nahitaji sana kuifanyaa.boss nachukua mtumba wa watoto ilala ,kwa 221,000 unayoifahamu ,naweza pata nguo 493 mchanganyiko .
Siku ya kwanza na ya pili nauza 3000 kila nguo, siku ya tatu nauza 1500 ,siku ya nne nauza 1000 kila nguo ...akipatikana mteja wa jumla nguo za mwishoni namuuzia 500 kila moja (wauza mtumba wanaweza kuelewa hapa )
Faida kwa siku 5 waweza kusanya 125,000 unayoifahamu .Kwa washindia mihogo wenzangu natenga 25,000 (operational cost ) nyingine ni faida ya msakatonge,ukipata location nzuri unawezapata faida zaidi ya hapo,
Hii ni ushuhuda wa kijana tu wa tandale .Subiri muuza pweza aje kukupa mchanganuo wa kupata faida ya 20,000 kwa mtaji huohuo mdogo mnaomaliza kwenye bia kwa siku
Kimsingi kuna mdada mmoja mwanza pale namfahamu fika maeneo ya greenview anauza msosi from jioni hadi usiku wa saa 5-6. Kulaza 30elfu na zaidi kwa siku wala sj suala la kuuliza ambapo mtaji wake ni vilaki tu. We kalia kulinganisha bajaji ya milion 7 na mtaji wa laki 2. Vocha ya ya 500 lakini faida yake ni ndogo less than 15sh lakini chungwa la 200 ujue faida yake si chinj ya 50shNajua watanibeza sanaa ....lakini hio pesa yako haiwezi kukupa faida ya 20,000 kwa siku......
Yaani mtaji wa 200,000. Upate faida ya 20,000 Kwa siku unaota wewe sio bure kama hivyo watu wasingekuwa masikini ...
Mtu wa boda boda karisk 2,500,000 na anapata faida 10k Kwa siku ...
Mtu wa bajaji kanunua 7million Ndio anapata faida ya 20k kwa siku....
Harafu unakuja na mtaji wako wa 200k et upate faida ya 20k kwa siku
Maisha sio rahisi kiasi hicho ....
Najua watanibeza sanaa ....lakini hio pesa yako haiwezi kukupa faida ya 20,000 kwa siku......
Yaani mtaji wa 200,000. Upate faida ya 20,000 Kwa siku unaota wewe sio bure kama hivyo watu wasingekuwa masikini ...
Mtu wa boda boda karisk 2,500,000 na anapata faida 10k Kwa siku ...
Mtu wa bajaji kanunua 7million Ndio anapata faida ya 20k kwa siku....
Harafu unakuja na mtaji wako wa 200k et upate faida ya 20k kwa siku
Maisha sio rahisi kiasi hicho ....
Ipoje hii afsa embu idadavue kidogo.Biashara ya kununua vyuma chakavu na chupa za plastic
Group ambalo huwez changia maon la nnKwa wadau Wanaohitaji kuingia kwenye biashara hii nzuri nawakaribisha Sana ,hasa wadau wa mikoan miez hii biashara inahitajika Sana Ndo miez ya kuvaa Unaweza ukabuni kusambaza kwenye masoko,magulio, Stand,kuwasambazia kwenye maduka,kuuza kwenye vijiji huko fashion mbalimbali zinazitoka wanapenda Sana so wenye interesting tutazidi kupeana Mbinu Machimbo Mimi ntarahishisha Hilo
Dhumuni Ni Kukurahisishia Mteja Wetu Machimbo Kukuletea Bidhaa Bora Original Kwa Bei Nzuri , Fashion Mpya,Mpya Zinazotrend, dizain Tofaut Tofauti, Kama;
*YEBO YEBO
*SLIPPERS, SANDALS,
*Shoes & Clothes
*Tunatuma Mikoa Yote Kwa Oda
*Tunauza Kwa Rejareja na Jumla Kwa wafanyabiashara wa Dar na mikoani Tunatuma Kwa Oda
*Bei zinaanziaTsh 3000,5000,8000,10000,15000+
*Piga no 0716898393 , Whatsapp 0714994833
*Links Whatsapp group Uone update za dazain tofauti MHINA SUPER Discount SHOES SANDALS, SLIPPERS,YEBO YEBO, CLOTHES
Mkuu mimi hapa ndy nimekua saiv yaan wazo mlilopitisha mwaka 015 wakati mm nipo kidato cha 3 naenda kwenye point hilo group bado lipo haihahaha! safiii...boss toka nimekuwa naupendaga sana mfano wa dirisha katika nyumba,haswaaa pale inapotekeaga bin-Adam anapokuwa na hofu juu ya watu na mazingira yake ya kazi au shughuli za kila siku,kama kanisani kuna matapeli,kama misikitini kuna matapeli,itakuaje katika soko la wasaka pesa 'MONEY ORIENTED PLACE',lazima wajae,kikubwa juu ya alibaba tumezungumza sana namna sahihi kama angalizo la kupishana na matapeli,pitia huu uzi vema utakutana na mahala nisha zungumzia jinsi ya kumtambua supplier sahihi,vice versa utakuwa umepishana na matapeli,au kwa ufupi ingia kwa io group uliza wadau wapo nondo watakueleza namba ya kupishana na tapeli.
Mfano wa dirisha;
Lengo kuu kama SIO rasmi la dirisha ndani ya nyumba ni mbili {1}kupitisha mwanga {2}kupitisha hewa
lakini dirisha lililowazi tu bila ukingo wowote basi hapana shaka ya kwama inzi zitapita,mbu zitapita,vumbi itapita,wezi wtapia n.k wakati hivyo vyote si lengo la DIRISHA, sasa kupishana na hivyo waweza weka nyavu,kioo,nondo n.k ndivyo alibaba nao wameweka nondo,vioo,nyavu n.k kupishana na matapeli,ingia kwa group boss kazi,watakueleza yooote na wewe lakini waeleze ujuayo maana kule ni uwanja wa kufundishana sio kufundishwa.
Huyu nafaham hili na yule anafaham lile...!
Aksante.
Boss bado zipo hizi?Brand New
Nokia 105 original
Batter 1200mAh
Full box
Bei 25000/=rejareja
Jumla 23000/=
No:+255788906890
Mikoani tunatuma
Delivery ipoView attachment 2698427
Naomben mnisaidieniBiashara gani iliyopo msufini mlandizi kwa alie kaaa pale na kuifanya akafanikiwa na kupata matokeo nisaidieni
Chama cha punyeto Tanzania.Chaputa