Konseli Mkuu Andrew
JF-Expert Member
- May 10, 2013
- 740
- 855
Wazungu wanajua kucheza na akili za watu duniani, yaani wanaunda matatizo wenyewe ili kufunika matatizo mengine.
Kuanzia mwaka 2019 dunia nzima kulitokea janga la Corona virus🦠😷 watu akili na masikio havikutaka kuona wala kusikia chochote tofauti na habari ya Corona na walifanikiwa kupitia vyombo vyao vya magharibi kwa kupika data za idadi ya vifo.
Baadae kidogo wazungu hao hao wakaja na mpango wa vita ya Russia na Ukraine lengo lilikuwa ni kuzimisha issue ya Corona na kweli walifanikiwa maana kwa kutumia vyombo vyao vya magharibi habari ya dunia ili kuwa ni leo wapi Russia amekamata eneo ndani ya Ukraine.
Sasa wamekuja na mpango mwingine wa vita ya Palestine na Israel huko napo wanaopigana ni kama wale wale tuu, maana yake ni kuwa Palestine (Hamas) wanasapotiwa na Russia huku Israel wanapata backup na USA na washirika wake.
Haya kazi kwenu viongozi wa Afrika, najua mtatumia huu mgogoro kuficha utawala wenu mbovu kama mlivyofanya kwenye Corona na vita ya Russia and Ukraine.
Nawasilisha.
Kuanzia mwaka 2019 dunia nzima kulitokea janga la Corona virus🦠😷 watu akili na masikio havikutaka kuona wala kusikia chochote tofauti na habari ya Corona na walifanikiwa kupitia vyombo vyao vya magharibi kwa kupika data za idadi ya vifo.
Baadae kidogo wazungu hao hao wakaja na mpango wa vita ya Russia na Ukraine lengo lilikuwa ni kuzimisha issue ya Corona na kweli walifanikiwa maana kwa kutumia vyombo vyao vya magharibi habari ya dunia ili kuwa ni leo wapi Russia amekamata eneo ndani ya Ukraine.
Sasa wamekuja na mpango mwingine wa vita ya Palestine na Israel huko napo wanaopigana ni kama wale wale tuu, maana yake ni kuwa Palestine (Hamas) wanasapotiwa na Russia huku Israel wanapata backup na USA na washirika wake.
Haya kazi kwenu viongozi wa Afrika, najua mtatumia huu mgogoro kuficha utawala wenu mbovu kama mlivyofanya kwenye Corona na vita ya Russia and Ukraine.
Nawasilisha.