johnmashilatu
JF-Expert Member
- Sep 16, 2010
- 722
- 705
Asante mkuu.Badilisha mbolea tumia ya ngombe au ya mbuzi ,pia weka mbolea ya npk this week baada ya wiki moja weka mbolea ya can utaona matokeo
Lakini naomba ufafanuzi kidogo, niweke ya ng'ombe au mbuzi kisha niweke hizo nyingine? Kwa kipimo gani? Nina miti yenye miezi manane na mingine ina mwaka na nusu.