Kwa maswali na majibu kwa masuala ya kilimo tu

Mkuu the horticulturist, nilipanda ngogwe (nyanya chungu) kiasi kidogo nyumbani. Nimetumia mbolea ya kuku tu. Mimea imekuwa vizuri tu.

Kama wiki 3 zilizopita, mimea imeanza kutoa maua. Tatizo ni kuwa, maua yakichanua, yananyauka baada ya siku chache, yanadondoka. Je, tatizo ni nini, na linaweza kudhibitiwa vipi?
 
Mkuu the horticulturist, nilipanda ngogwe (nyanya chungu) kiasi kidogo nyumbani. Nimetumia mbolea ya kuku tu. Mimea imekuwa vizuri tu.

Kama wiki 3 zilizopita, mimea imeanza kutoa maua. Tatizo ni kuwa, maua yakichanua, yananyauka baada ya siku chache, yanadondoka. Je, tatizo ni nini, na linaweza kudhibitiwa vipi?

Umeweka mbolea ya kuku pekee so hapo mmea wako unakosa calcium weka mbolea ya CAN ukipata yaraliva nitrabor ni vyema zaidi,pia maji jitahidi unyevu uwepo sababu pia unyevu ukipungua mmea unafanya abortion ya maua au matunda
 
Mkuu naomba kujua mimea kama pilipili hoho, ngogwe na pilipili mbuzi zinahitaji maji kiasi gani kwa wiki kwani nataka nipunguze kubeba ndoo nataka niweke makopo so nikipata kiasi cha maji kwa wiki kwa mimea tajwa utakuwa umenitua ndoo,.

Maji ya kunyesha hutegemea vitu vingi mkuu ikiwa ni pamoja na stage ya mmea,aina ya mmea,aina ya udongo na hewa/nyuzi joto.
So ni vigumu kua na jibu moja la kila sehemu
 
wakuu naomba ushauri juu ya kilimo cha maharagwe ili katika hekta moja niweze kupata mavuno mengi yanye faida
 
Badilisha mbolea tumia ya ngombe au ya mbuzi ,pia weka mbolea ya npk this week baada ya wiki moja weka mbolea ya can utaona matokeo
 
Back
Top Bottom