Waliopitia mafunzo ya JKT wanahitajika

Kimolah

JF-Expert Member
Mar 22, 2011
543
709
Habari wanajukwaa, katika kufikiria mbinu na namna ya kuboresha na kufanya ujasiriamali kupitia kilimo na ufugaji nimewaza na kupanga kupata vijana waliopitia mafunzo ya JKT (either kwa mujibu wa au wazalendo), walio na utayari, kwa kuanzia shamba dogo (heka 4 ) lililopo wilaya ya Mvomero, maeneo ya Dakawa, ambapo tutafanya shughuli in practical na tuta-share faida na hasara.

Vijana wawili kwa kuanzia wenye Ari na ujuzi (kiasi) wa ufugaji na kilimo cha mbogamboga, wasio waoga wa mazingira, wawe na umri usiopungua miaka 22, lengo ni kuwa kadiri tutakavyokuwa nao waweze kujitegemea. Jinsia ya kike watapewa kipaumbele
Mawasiliano +255 783030101.
 
Habari wanajukwaa, katika kufikiria mbinu na namna ya kuboresha na kufanya ujasiriamali kupitia kilimo na ufugaji nimewaza na kupanga kupata vijana waliopitia mafunzo ya JKT (either kwa mujibu wa au wazalendo), walio na utayari, kwa kuanzia shamba dogo (heka 4 ) lililopo wilaya ya mvomero, maeneo ya Dakawa, ambapo tutafanya shughuli in practical na tuta-share faida na hasara , vijana wawili kwa kuanzia wenye Ari na ujuzi (kiasi) wa ufugaji na kilimo cha mbogamboga, wasio waoga wa mazingira, wawe na umri usiopungua miaka 22, lengo ni kuwa kadiri tutakavyokua nao waweze kujitegemea . Jinsia ya kike watapewa kipaumbele
Mawasiliano +255 783030101.
Sasa hili nalo linahitaji aliyepita JKT?

Magufuli alituharibu Sana akili.
 
Habari wanajukwaa, katika kufikiria mbinu na namna ya kuboresha na kufanya ujasiriamali kupitia kilimo na ufugaji nimewaza na kupanga kupata vijana waliopitia mafunzo ya JKT (either kwa mujibu wa au wazalendo), walio na utayari, kwa kuanzia shamba dogo (heka 4 ) lililopo wilaya ya mvomero, maeneo ya Dakawa, ambapo tutafanya shughuli in practical na tuta-share faida na hasara , vijana wawili kwa kuanzia wenye Ari na ujuzi (kiasi) wa ufugaji na kilimo cha mbogamboga, wasio waoga wa mazingira, wawe na umri usiopungua miaka 22, lengo ni kuwa kadiri tutakavyokua nao waweze kujitegemea . Jinsia ya kike watapewa kipaumbele
Mawasiliano +255 783030101.
Why JKT?
 
Habari wanajukwaa, katika kufikiria mbinu na namna ya kuboresha na kufanya ujasiriamali kupitia kilimo na ufugaji nimewaza na kupanga kupata vijana waliopitia mafunzo ya JKT (either kwa mujibu wa au wazalendo), walio na utayari, kwa kuanzia shamba dogo (heka 4 ) lililopo wilaya ya Mvomero, maeneo ya Dakawa, ambapo tutafanya shughuli in practical na tuta-share faida na hasara.

Vijana wawili kwa kuanzia wenye Ari na ujuzi (kiasi) wa ufugaji na kilimo cha mbogamboga, wasio waoga wa mazingira, wawe na umri usiopungua miaka 22, lengo ni kuwa kadiri tutakavyokuwa nao waweze kujitegemea. Jinsia ya kike watapewa kipaumbele
Mawasiliano +255 783030101.
Kilimo kina hitaji nidhamu, ujuzi na uvumilivu ivyo ingekuwa vyema kama ungepata Shamba boy kutoka Mang'ola, chekeleni, Dumila na Nk maana hao wanaweza kukaa shambani ata miezi sita ajaenda mjini lkn hawa wengine ukitoka tuu nae anaenda center kuangalia mpira au kufanya anasa au tafuta Mzee wa miaka 50+ na kuendelea maana huyu ana future tena jua limezama ivyo atafanya kazi yako kwa umakini sana kama utamthamini lkn kwa vijana inabidi uwe makini maana malengo kama yote ivyo muda wowote anaweza kuondoka
 
Naona wachangiaji baadhi kwa hulka ya tabia zao wanajaribu kujieleza kupitia uzi huu, kipaumbele Cha wanawake haimaanishi wanaume hawatapata nafasi, hekari nne nilizotaja ni za kuanzia,Kuna shamba la hekari 28 na shamba kubwa zaidi, hili la kuanzia shughuli itakuwa kilimo cha muda wote bustani na baadae nyumba vitalu (screen houses), ufugaji wa kitaalamu na miti kiasi.
nawashukuru ambao mpaka sasa mmechangia kiujengefu (constructive comments) , nanyi pia mnaochangia kiuharibifu ( destructive comments) endeleeni kwani ndio tunazidi kujifunza , kwa hiyo kama una makasiriko yako tafadhali usisite kuyamwaga it helps to vent your frustrations to strangers.
 
Back
Top Bottom