Habari jf ,kwanza niweke Wazi Mimi ni mfuasi wa lile kundi linalosemwa vibaya la Hayati JPM na msimamo wangu utabaki pale pale ndiye best president to rule this country .
CHADEMA kiuhalisia ukiwatoa Wilbroad slaa na Tundu Lissu hakuna kiongozi aliyewahi kuwa serious na kuchukua Nchi ,ni huwa wanaingiza mtu kugombea au anagombea Mwenyekiti kama ushahidi tu .
Hivyo Kwa akili yangu timamu 2025 mbali na kuwa na dalili :-
1.Mwenyekiti Mbowe kuwa hana makali tena kutokana na makubaliano ya maridhiano
2.Nafasi zilizopo ni upande wa ubunge na madiwani upande wa Urais hakuna namna
Nitakuwa upande wa chama changu CHADEMA na nitashawishi wananchi wengine wakiunge ili tuweze chukua dola na sio wabunge maana 2025 nafasi iko Wazi .
Wananchi tuwasamehe CHADEMA na tuwaunge mkono tena .
"Say NO to CCM "Uwezo wao tushaujua hautoshi kutuletea maendeleo .
Tusisahau Katiba MPYA sio jambo la kuombwa na la CHADEMA peke yake ni jambo la kila MTU tuungane ipatikane .
CHADEMA kiuhalisia ukiwatoa Wilbroad slaa na Tundu Lissu hakuna kiongozi aliyewahi kuwa serious na kuchukua Nchi ,ni huwa wanaingiza mtu kugombea au anagombea Mwenyekiti kama ushahidi tu .
Hivyo Kwa akili yangu timamu 2025 mbali na kuwa na dalili :-
1.Mwenyekiti Mbowe kuwa hana makali tena kutokana na makubaliano ya maridhiano
2.Nafasi zilizopo ni upande wa ubunge na madiwani upande wa Urais hakuna namna
Nitakuwa upande wa chama changu CHADEMA na nitashawishi wananchi wengine wakiunge ili tuweze chukua dola na sio wabunge maana 2025 nafasi iko Wazi .
Wananchi tuwasamehe CHADEMA na tuwaunge mkono tena .
"Say NO to CCM "Uwezo wao tushaujua hautoshi kutuletea maendeleo .
Tusisahau Katiba MPYA sio jambo la kuombwa na la CHADEMA peke yake ni jambo la kila MTU tuungane ipatikane .