GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
Kutokuelewa muktadha wa mapambano na lugha ya picha ni tatizo kubwa kwa upinzani wa Afrika ,Sauti ya Samia ndio ushindi wenyewe wa ccm mwaka 2025 na tena atashinda mpaka kuna watu wataona ni heri mwaka 2020 kulikuwa na sauti ya ngurumo na vitisho
Mwaka 2025 Samia atashinda kimya kimya tena asubuhi mapema ,Atashinda kwa sauti ya chini chini ya ukimya na upole
Rais Samia ameturahisishia sana kazi wana ccm kwani wakati wa uchaguzi 2025 tutawapuliza kidogo na kuwafinya kimya kimya ,Mkija kupata akili tayari itaanza mipango ya kifikiria 2030
Chadema na wapinzani wengine wanajitekenya wao wenyewe kwenye mikutano yao halafu kucheka wanataka sisi wananchi tucheke,Mwaka 2025 watashangaa kura zitakapotekenywa na kilio watakilia wao
Mwaka 2020 tulionya hapa JF kuwa itakuwa ushindi wa land slide victory ingawa hoja za Tundu Lissu hazikujibiwa na hazina majibu
Suala la makubaliano ya bandari tulionya hapa JF kuwa tatizo ni lugha ya kiingereza kutokueleweka kwa watanzania wengi,Wafuasi wa Mwabukusi na genge lake wamekimbilia mahakamani kuhitaji tafsiri ya lugha ya kiingereza ya sheria
Kama lugha ya kiingereza ni rahisi kwanini unaenda mahakamani na mnaanza kubishana vitu vilivyo wazi kabisa kwenye zile articles ,Tatizo hili la lugha ndio mtaji wa Rais Samia mwaka 2025
Vichekesho na vioja ndio hivi,Wewe unasema mkataba mbovu lakini suluhisho lako ni kukimbilia kupata tafsiri ya kiingereza,Eeh ukishapata tafsiri so what?
Mtikila alipata tafsiri ngapi ?Na baada ya tafsiri nini kilitokea?
Bila kutambua adui unayepigana nae ni wa aina gani na anatumia silaha aina gani huwezi kushinda vita hata kidogo
Silaha ya ccm bado wapinzani hawajazijua kabisa mpaka sasa ,Uchaguzi sio maneno wala sera kwa nchi za Afrika
Uchguzi wa Afrika ni nani anayepiga kura na ni nani anayehesabu kura na ni nani anayetangaza matokeo ya hizo kura
Mwaka 2025 Samia atashinda kimya kimya tena asubuhi mapema ,Atashinda kwa sauti ya chini chini ya ukimya na upole
Rais Samia ameturahisishia sana kazi wana ccm kwani wakati wa uchaguzi 2025 tutawapuliza kidogo na kuwafinya kimya kimya ,Mkija kupata akili tayari itaanza mipango ya kifikiria 2030
Chadema na wapinzani wengine wanajitekenya wao wenyewe kwenye mikutano yao halafu kucheka wanataka sisi wananchi tucheke,Mwaka 2025 watashangaa kura zitakapotekenywa na kilio watakilia wao
Mwaka 2020 tulionya hapa JF kuwa itakuwa ushindi wa land slide victory ingawa hoja za Tundu Lissu hazikujibiwa na hazina majibu
Suala la makubaliano ya bandari tulionya hapa JF kuwa tatizo ni lugha ya kiingereza kutokueleweka kwa watanzania wengi,Wafuasi wa Mwabukusi na genge lake wamekimbilia mahakamani kuhitaji tafsiri ya lugha ya kiingereza ya sheria
Kama lugha ya kiingereza ni rahisi kwanini unaenda mahakamani na mnaanza kubishana vitu vilivyo wazi kabisa kwenye zile articles ,Tatizo hili la lugha ndio mtaji wa Rais Samia mwaka 2025
Vichekesho na vioja ndio hivi,Wewe unasema mkataba mbovu lakini suluhisho lako ni kukimbilia kupata tafsiri ya kiingereza,Eeh ukishapata tafsiri so what?
Mtikila alipata tafsiri ngapi ?Na baada ya tafsiri nini kilitokea?
Bila kutambua adui unayepigana nae ni wa aina gani na anatumia silaha aina gani huwezi kushinda vita hata kidogo
Silaha ya ccm bado wapinzani hawajazijua kabisa mpaka sasa ,Uchaguzi sio maneno wala sera kwa nchi za Afrika
Uchguzi wa Afrika ni nani anayepiga kura na ni nani anayehesabu kura na ni nani anayetangaza matokeo ya hizo kura