Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
By Martin Maranja Masese kupitia twitter:
Leo pia chakula kutoka kwa familia ya Freeman Mbowe kimekataliwa gereza la Ukonga. sababu zilizotolewa ni kwamba huo ndio utaratibu mpya na maelekezo yapo hivyo hadi hapo watakapotoa utaratibu mwingine. Kumbuka leo ni maadhimisho ya uhuru wa Tanganyika, yanaendelea hayo.
Maoni yangu:
Wanatafuta kila mbinu kuhakikisha Mbowe anawapigia magoti.
Mambo ya kikoloni halafu tunajisifu kufikisha miaka 60 ya uhuru. Hovyo!
Siku kama ya leo bora tu iwe ni siku ya kazi kuliko kudanganyana kuwa tuna uhuru tulioutaka wakati bado kuna mambo yana elements za kikoloni yanaendelea mpaka leo hii.
Leo pia chakula kutoka kwa familia ya Freeman Mbowe kimekataliwa gereza la Ukonga. sababu zilizotolewa ni kwamba huo ndio utaratibu mpya na maelekezo yapo hivyo hadi hapo watakapotoa utaratibu mwingine. Kumbuka leo ni maadhimisho ya uhuru wa Tanganyika, yanaendelea hayo.
Maoni yangu:
Wanatafuta kila mbinu kuhakikisha Mbowe anawapigia magoti.
Mambo ya kikoloni halafu tunajisifu kufikisha miaka 60 ya uhuru. Hovyo!
Siku kama ya leo bora tu iwe ni siku ya kazi kuliko kudanganyana kuwa tuna uhuru tulioutaka wakati bado kuna mambo yana elements za kikoloni yanaendelea mpaka leo hii.