Kwa Makala Hii ya Daraja la Kigamboni Mwanakijiji Kachemsha

Imetokea kama ajali hivi kusoma gazeti la Mwanahalisi nikavutwa na kichwa hicho cha habari ambacho kimeandikwa na mwandishi nguli, guru, mzee wa busara na kaka yetu ambaye wengi tunamwona ni mentor wetu wa mambo mengi.
Ukiisoma inaonekana aidha huyu mzee ana gubu fulani, ana hasira ambayo haiko wazi, ni nakala hasa kama yeye!
wakati mwingine tunataka kujionyesha kwa jamii, tunapinga kila kitu, tunawaza sana, tuna akili mno, ni wazalendo sana, na tunampenda Nyerere mno...ila mara nyingi tunaharibu na hatuwi sahihi
Hivi ni lazima uandike nakala kama huna cha kuandika???
Your article was so boring !!!! where is real you???
Mkuu Waberoya, katika maandishi yako kuna hoja za kujadiliwa kama umuhimu wa daraja,Kigamboni city n.k ikiwa ni pamoja na zile zitokanazo na makala ya Mwanahalisi.

Hoja zako zinafunikwa na hoja kuu kwamba tuhuma ulizotoa dhidi ya mtu na siyo mada ni nzito.
Jambo jema aliyetuhumiwa amekuja na kauli hii
Makala original ni hiyo ya Tanzania Daima. Sikutuna makala nyingine Mwanahalisi.
Nami naungana na mkuu EMT kwa kauli hizi
Asante kwa clarification. Labda Mkuu Waberoya atupe ufafanuzi zaidi juu ya hiyo makala aliyoisoma kwenye gazeti la Mwanahalisi titled: "Daraja la Kigamboni na Utakaso wa Magufuli". Inawezekana Mwanahalisi wame republish hiyo makala halafu waka-spin title?
Tafadhali tunaomba upande wa pili wa shilingi. Hii itatusaidia tuweze ku 'attack' hoja na siyo personality
 
Unapokataa kuwa si vyena mimi kumdhania Magufuli na jujona sahihi wewe nwenyewe unanidhania mimi na Nyerere "wangu" na hauoni tatizo. So kwako ni vibaya kwa mwanakijiji kumdhania Magufuli lakini ni sawa wewe kunidhania mimi?

Mkuu nimecheka kidogo, ila nimekuelewa

Sina tatizo na hili, mkuu please whatever is happening to you now let us share. sita argue hii statement yako, ila ina loopholes nyingi mno kuonyesha my brother kuna kitu kinakusumbua!
 
Reli ni muhimu zaidi kuliko kitu chochote kwa sasa hivi.

Magufuli ameingia kwenye mtego wa ule mradi wa 'mji wa kimataifa'

NSSF wakishajenga daraja, watajenga majengo mengi sana kigamboni, that is where the direction is.......

Ni kweli kabisa Waberoya,
Kutokana na pressure ya kujenga mji wa kisasa Kigamboni daraja ni kitu muhimu sana. Lakini katika wigo mpana zaidi, kweli daraja lile ni muhimu kuliko reli za kuconnect project za makaa ya mawe kule kusini na kuunganisha Uganda, Rwanda na Burundi ili tuongeze biashara ya Bandari ya salama?
Kwa maana nyingine, inawezekana kabisa influence ya kuliweka daraja ikawa ya kisiasa zaidi kuliko ya kiuchumi. Hata hivyo, ngoja tusubiri daraja lije...linaweza kuja na neema zake.
 
Mkuu Waberoya, katika maandishi yako kuna hoja za kujadiliwa kama umuhimu wa daraja,Kigamboni city n.k ikiwa ni pamoja na zile zitokanazo na makala ya Mwanahalisi.

Hoja zako zinafunikwa na hoja kuu kwamba tuhuma ulizotoa dhidi ya mtu na siyo mada ni nzito.
Jambo jema aliyetuhumiwa amekuja na kauli hii Nami naungana na mkuu EMT kwa kauli hizi Tafadhali tunaomba upande wa pili wa shilingi. Hii itatusaidia tuweze ku 'attack' hoja na siyo personality

nimejibu mkuu, nakala zina utafauti wa content (slightly), muda zilizoandikwa, mtiririko wa habari n.k

MMM mwenyewe anajichanganya katika hili , inaonyesha aliituma yeye mwenyewe mwanahalisi, la alimwachia secretary wake a-edit! nakala ya mwanahalisi haina headings
 
nimejibu mkuu, nakala zina utafauti wa content (slightly), muda zilizoandikwa, mtiririko wa habari n.k

MMM mwenyewe anajichanganya katika hili , inaonyesha aliituma yeye mwenyewe mwanahalisi, la alimwachia secretary wake a-edit! nakala ya mwanahalisi haina headings

kuna mahali hapo nyuma nimejibu hilo swali. Makala pekee niliyoandika na kutuna ni hiyo ya TD. Sasa kama makala nyingine imetolewa sehemu nyingine na ina tofauti na ile miye sina maelezonayo.
 
Mkuu nimecheka kidogo, ila nimekuelewa

Sina tatizo na hili, mkuu please whatever is happening to you now let us share. sita argue hii statement yako, ila ina loopholes nyingi mno kuonyesha my brother kuna kitu kinakusumbua!

Sasa kwanini iwe ni mimi nina kitu kinanisumbua na si wewe ambaye kuna kitu kinakusumbua?
 
Ni kweli kabisa Waberoya,
Kutokana na pressure ya kujenga mji wa kisasa Kigamboni daraja ni kitu muhimu sana. Lakini katika wigo mpana zaidi, kweli daraja lile ni muhimu kuliko reli za kuconnect project za makaa ya mawe kule kusini na kuunganisha Uganda, Rwanda na Burundi ili tuongeze biashara ya Bandari ya salama?
Kwa maana nyingine, inawezekana kabisa influence ya kuliweka daraja ikawa ya kisiasa zaidi kuliko ya kiuchumi. Hata hivyo, ngoja tusubiri daraja lije...linaweza kuja na neema zake.

Mpendwa NDAHANI lile daraja halina faida yeyote, sijui feasibility study ya world bank sijui nani imesemaje is nonsense!

we dont need that bridge now!!!

nchi yetu ni maskini na iko uchi kila kona, umetoa mifano ya makaa ya mawe, not only that MALORI YA AKIAN RIDHWAN NDIYO YANATAMBA BARABARANI, YANALETA AJALI, ANAUA BARABARA, YANATUMIA MAFUTA MENGI NA WANANCHI WANATUMIA FEDHA NYINGI kupata mahitaji, as result kila siku maisha yanapanda

Hainiingii akili mtu kusupport huu mradi wa akina Bush, daraja lijengwe, zile structure zijengwe so what?? hatujafika huko bado!

ukisasa huu unatuaibisha, hatuna priorities tunajifanya tuko karne ya 21 wakati ukweli tuko karne ya 15!!
 
Huyo mpiganaji ni nani ndani ya CCM, mweke hapa nimjue!!

hints: soma signature yangu!

Sasa hiyo signature yako unai-reconcile vipi na uliyoandika hapo chini?

Hakuna kitu kibaya kama kumwazia mtu, ukamsemea , halafu akaka kimya asikujibu , mwanakiji anaa mini kila anayepiga kelele ufisadi ndiye 'fighter'!!!
 
Pole sana mkuu kwa kukwazika. Hata hivyo heading yako ya awali "M:M Mwanakijiji: Daraja la Kigamboni na Utakaso wa Magufuli-Mwanahalisi February 1-7" haiendani na maudhui ya topic yako. Labda ingeweza kuendana kama ungecopy na kupaste hiyo makala yote ya Mwanahalisi ili ambao hatukuisoma tuisome...lakini wewe lengo lako ilikuwa kutuonesha/kutuambia jinsi mwandishi wa makala hiyo alivyochemsha. Mojawapo ya shutuma unazotoa kwa Mwandishi/Mwanahalisi ni kuwa title yao haiendani na content kosa ambalo na wewe unalirudia hapa JF.

Kwa maoni yangu, mabadiliko waliyofanya moderators kwenye title ya topic hii yanaendana zaidi na maudhui/content ya topic yako: "Kwa Makala Hii ya Daraja la Kigamboni Mwanakijiji Kachemsha".

Halafu mkuu matusi yanaharibu hoja yako/zako (kama zipo!). Sote tutajua kuwa wewe sio mtoto (umesema "I am not a child" hapo mwishoni) kwa busara zako na sio 'weledi' wako wa kuporomosha matusi kwa kiingereza.

Amani iwe nawe.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
du umechemsha mpaka basi!! aibu

Huwa unakurupuka sana pindi unapokuwa na chuki binafsi na member.Nakumbuka hata hii makala ulileta hoja zenye mwelekeo wakuonyesha chuki dhidi ya Zitto.Na kudhhihirisha hilo ulileta hoja nyingi ambazo hukuzifanyia utafiti,walipojitokeza wanaofahamu yale uliyoyaleta ukawa mpole na kujirudi.

My take;
Nakukubali sana kutokana na uchambuzi wako ila ni vyema ukawa unatulia pindi unapokuwa na kutoridhika na mtazamo wa mtu fulani.



Waberoya
  • profile.png
    View Profile
  • forum.png
    View Forum Posts
  • message.png
    Private Message
  • add.png
    Add as Contact
  • email.png
    Send Email
28th March 2011 20:58
#31 JF Premium Member Array


Join Date : 3rd August 2008
Location : Busia-Uganda
Posts : 4,959
Rep Power : 1406


icon1.png
Re: Esoteric: Uhusiano wa Zitto, JK, Salim A.S, Ridhwan, Omar Ilyas & then some Islams?



quote_icon.png
By Quinine
We mchokozi watu walishaisahau hii habari.



Wewe ndio mchokozi! kichwa kama Kiwete!


quote_icon.png
By MsandoAlberto
Zitto hakushiriki mapinduzi ya 2003. Ridhiwani Kikwete had nothing to do with that either. Alikuwepo Ndaskoi, Siriwa nk ambao hao walikuwa mstari wa mbele.

Waberoya, unakumbuka kamati iliyoundwa utawala kwenda Dean of Students Dr. Kitula?

Omar Ilyas ni rafiki yake Zitto but kusema Omar Ilyas ni rafiki wa JK inatia shaka. Udini wa Zitto na Omar ni wa ajabu basi. With due respect kwa muda niliomfahamu Zitto sikumbuki lini aliniaga anaenda msikitini. Sikumbuki. Omar hivyo hivyo. Kama ni wadini itakuwa ni ajabu.

Picha iliyotundikwa ukutani ukiangalia utaona inakuangalia. Vile vile aliyekaa pembeni yako na yeye ataona inamuangalia. It is nothing but imagination!



Msando ukikataa kuwa Ridhiwan, wewe mwenyewe, Zito ,n.k hawakuhusika nitashangaa sana, Kwa macho yangu niliwaona na niliwasikia..they were not leaders but they fully supported that revolution. Ridhwan ndiye ambaye alitaka kabisa kufunga mpaka ofisi kwa hasira....I will stand on that. Zito hakuwa mstari wa mbele alionekana zaidi kama ndiye master minder.That time Benno alikuwa dogo mno mpaka akikutana na mimi anatetemeka na kutoa shikamoo ...!! aha ha ha!!! leo hii eti UVCCM..my God!

Ukweli habari hii ukiiangalia sana niliandika kwa hasira na ku-connect dots na hasira zangu zilikuja pale Zito alipomfagilia Kikwete kuhusu Kigoma, na alipishana na wenzake swala la kutoka bungeni. Hili lilinifanya CPU yangu irudi nyuma na ku-connect dots...thats all.

Ukweli I am feeling sorry kuwa kuna mengine niliandika kwa hisia zaidi ili kama kuna evidence zitoke kwa watu wengine, ili nifute kabisa IMANI yangu kwa Zito na kwa sababu evidence zilikosekana , why then should I hold anger toward him??

Kama kuna kitu nakipenda basi ni kanuni zangu na principle zangu ambazo kiongozi yeyote lazima azipitie ili niwe na imani naye.

Zito alizijibu hoja na sina tatizo naye...though this post inaweza kuchukuliwa kumchafua Zito kama wengine wanavyofanya, kwangu mimi nachukulia ilikuwa ni kipimo Tosha kuwa Zito ni mtu wa watu, alikuja akajibu , KUMBUKA SIYO LAZIMA KUJA HUMU! angeweza kugoma na kuendelea na maisha yake..ningemfanya nini?? kuja kwake hapa na ngau kusema na mimi basi kwangu mimi kulinifanya nirudi kuwa kwangu mimi ni kiongozi mzuri sana na he is living 50yrs ahead of many....watu wa aina ya Zito nawachukulia sawa na watu wa caliber ya MKJJ they are focused and openly they live by their principles. Nashukuru Mungu wasiwasi wangu uliondoka ..Zito is 100% in my heart..nikiwa na wasiwasi tena ili nisiingie chaka nasema tu...why not?

I will personally nitakutana naye na kujadili yeye kuwa rais 2020 au 2025. He can and he is real. Msando tutakupa wizara ya sheria usihofu!! LOL!

BTW Siriwa yuko wapi??



Lakini​
 
Pole sana mkuu kwa kukwazika. Hata hivyo heading yako ya awali "M:M Mwanakijiji: Daraja la Kigamboni na Utakaso wa Magufuli-Mwanahalisi February 1-7" haiendani na maudhui ya topic yako. Labda ingeweza kuendana kama ungecopy na kupaste hiyo makala yote ya Mwanahalisi ili ambao hatukuisoma tuisome...lakini wewe lengo lako ilikuwa kutuonesha/kutuambia jinsi mwandishi wa makala hiyo alivyochemsha. Mojawapo ya shutuma unazotoa kwa Mwandishi/Mwanahalisi ni kuwa title yao haiendani na content kosa ambalo na wewe unalirudia hapa JF.

Kwa maoni yangu, mabadiliko waliyofanya moderators kwenye title ya topic hii yanaendana zaidi na maudhui/content ya topic yako: "Kwa Makala Hii ya Daraja la Kigamboni Mwanakijiji Kachemsha".

Halafu mkuu matusi yanaharibu hoja yako/zako (kama zipo!). Sote tutajua kuwa wewe sio mtoto (umesema "I am not a child" hapo mwishoni) kwa busara zako na sio matusi.

Amani iwe nawe.

mkuu sitafuti sifa humu, title inawekwa kwa makusudi mengi sana, especially unapo mwonsya mtu, sikutaka maada iwe too hot, kama walivyofanya

okey, je wakitaka kubadilisha kwa nini hawa ku-alert?? na kutoa sababu?

sifikirii kuwa mimi ni mtu mzima bro. wala sitaki kujiweka kuwa mimi ni mtu mzima, I better be a kid, because I ask many questiions, but I hate to be a kid because I cant be asked! so in anyway kuna hasara na faida.

Mimi niko niko tu mkuu, sirembi, sitafuti umaarufu na uko huru kuwaza na kusema chochote, lakini najipenda mimi kwenye negative view yako,napenda niwe unavyotaka niwe, wala sina tatizo
 
Huwa unakurupuka sana pindi unapokuwa na chuki binafsi na member.Nakumbuka hata hii makala ulileta hoja zenye mwelekeo wakuonyesha chuki dhidi ya Zitto.Na kudhhihirisha hilo ulileta hoja nyingi ambazo hukuzifanyia utafiti,walipojitokeza wanaofahamu yale uliyoyaleta ukawa mpole na kujirudi.

My take;
Nakukubali sana kutokana na uchambuzi wako ila ni vyema ukawa unatulia pindi unapokuwa na kutoridhika na mtazamo wa mtu fulani.
Waberoya
28th March 2011 20:58
#31 JF Premium Member Array


Join Date : 3rd August 2008
Location : Busia-Uganda
Posts : 4,959
Rep Power : 1406


icon1.png
Re: Esoteric: Uhusiano wa Zitto, JK, Salim A.S, Ridhwan, Omar Ilyas & then some Islams?



quote_icon.png
By Quinine
We mchokozi watu walishaisahau hii habari.



Wewe ndio mchokozi! kichwa kama Kiwete!


quote_icon.png
By MsandoAlberto
Zitto hakushiriki mapinduzi ya 2003. Ridhiwani Kikwete had nothing to do with that either. Alikuwepo Ndaskoi, Siriwa nk ambao hao walikuwa mstari wa mbele.

Waberoya, unakumbuka kamati iliyoundwa utawala kwenda Dean of Students Dr. Kitula?

Omar Ilyas ni rafiki yake Zitto but kusema Omar Ilyas ni rafiki wa JK inatia shaka. Udini wa Zitto na Omar ni wa ajabu basi. With due respect kwa muda niliomfahamu Zitto sikumbuki lini aliniaga anaenda msikitini. Sikumbuki. Omar hivyo hivyo. Kama ni wadini itakuwa ni ajabu.

Picha iliyotundikwa ukutani ukiangalia utaona inakuangalia. Vile vile aliyekaa pembeni yako na yeye ataona inamuangalia. It is nothing but imagination!



Msando ukikataa kuwa Ridhiwan, wewe mwenyewe, Zito ,n.k hawakuhusika nitashangaa sana, Kwa macho yangu niliwaona na niliwasikia..they were not leaders but they fully supported that revolution. Ridhwan ndiye ambaye alitaka kabisa kufunga mpaka ofisi kwa hasira....I will stand on that. Zito hakuwa mstari wa mbele alionekana zaidi kama ndiye master minder.That time Benno alikuwa dogo mno mpaka akikutana na mimi anatetemeka na kutoa shikamoo ...!! aha ha ha!!! leo hii eti UVCCM..my God!

Ukweli habari hii ukiiangalia sana niliandika kwa hasira na ku-connect dots na hasira zangu zilikuja pale Zito alipomfagilia Kikwete kuhusu Kigoma, na alipishana na wenzake swala la kutoka bungeni. Hili lilinifanya CPU yangu irudi nyuma na ku-connect dots...thats all.

Ukweli I am feeling sorry kuwa kuna mengine niliandika kwa hisia zaidi ili kama kuna evidence zitoke kwa watu wengine, ili nifute kabisa IMANI yangu kwa Zito na kwa sababu evidence zilikosekana , why then should I hold anger toward him??

Kama kuna kitu nakipenda basi ni kanuni zangu na principle zangu ambazo kiongozi yeyote lazima azipitie ili niwe na imani naye.

Zito alizijibu hoja na sina tatizo naye...though this post inaweza kuchukuliwa kumchafua Zito kama wengine wanavyofanya, kwangu mimi nachukulia ilikuwa ni kipimo Tosha kuwa Zito ni mtu wa watu, alikuja akajibu , KUMBUKA SIYO LAZIMA KUJA HUMU! angeweza kugoma na kuendelea na maisha yake..ningemfanya nini?? kuja kwake hapa na ngau kusema na mimi basi kwangu mimi kulinifanya nirudi kuwa kwangu mimi ni kiongozi mzuri sana na he is living 50yrs ahead of many....watu wa aina ya Zito nawachukulia sawa na watu wa caliber ya MKJJ they are focused and openly they live by their principles. Nashukuru Mungu wasiwasi wangu uliondoka ..Zito is 100% in my heart..nikiwa na wasiwasi tena ili nisiingie chaka nasema tu...why not?

I will personally nitakutana naye na kujadili yeye kuwa rais 2020 au 2025. He can and he is real. Msando tutakupa wizara ya sheria usihofu!! LOL!

BTW Siriwa yuko wapi??



Lakini​

so what, naona unapoteza muda wako, haujui una deal na nani? ehee kwa hiyo hoja hii imeibua ili iweje?? acha kuwa blind followers,I had right to ask zito, alijieleza,yaliisha.

hulka yangu ni kukurupuka, unataka nifanye nini nisikurupuke?? napenda hivyo kukurupuka tu!!! unasemaje??

count me as the dumpest and idiotic man in this planet more than your parents, nitakuwa na kama itakufurahisha it will be okay,

hivi nyie wengine, mbona mnaogopa sana hoja za kwenye online kwa watu ambao hamjuani?? yaani lengo lako ni kunidhalilisha,hapa umegonga mwamba mkuu!!! napenda kudhalilishwa sana na ndiyo furaha yangu!!!

it seems haujui kinachoendelea, ww unaona nili mdis, wengine wanaona rafiki yangu sana.be smart unatia aibu...

Kitu pekee kwenye ile article ambayo nilikosa ushahidi na zito alijitetea vyema ni kuhusiana na swala la crusher,mengine yote I was right!

sijui na wewe umekurupuka, nauliza tu

h
 
mkuu sitafuti sifa humu, title inawekwa kwa makusudi mengi sana, especially unapo mwonsya mtu, sikutaka maada iwe too hot, kama walivyofanya

okey, je wakitaka kubadilisha kwa nini hawa ku-alert?? na kutoa sababu?...
Sawa inawezekana 'wamekosea' kuto kukupa taarifa...je hili peke yake limetosha kwa wewe kuwatukana? Najua hutafuti sifa humu...lakini haya matusi ya 'rejareja' yatafanya upate sifa usiyoitafuta (najua utasema "I don't care"!).

Kuna issue ya title kutoendana na content (naamini ndio sababu ya mods kuibadilisha...hili wewe limekukera sana) na hapa unasema mwenyewe "title inawekwa kwa makusudi mengi sana" (kama ambavyo wewe hapa umefanya hapa JF na hutaki ibadilishwe hata kama haiendani na maudhui) halafu wewe huyohuyo unamlaumu mwanahalisi/MMM kwa kuweka title (ya makala kwenye gazeti) ambayo haiendani na content....umesahau kuwa "title inawekwa kwa makusudi mengi sana"! Au kuna kitu sijaelewa hapa?

Well, tuendelee na mada ya msingi. Nimeona MMM amesema hapo hakupeleka hiyo makala mwanahali bali TD na wewe mwenyewe umekiri kuwa kweli kuna tofauti (slightly!). Labda, sasa utuambie kama upo tayari kuifanyia utafiti zaidi hoja yako ama bado unaamini inasimama kama ilivyo? Mbaya zaidi katika hili umejikita zaidi katika mtu na sio hoja....sasa the moment mtu unayemlenga akiweza kuji detach na hiyo makala hoja yako inakuwa imekufa.
 
Mkuu Waberoya, kwanza pole kwa yaliyokukuta lakini bado ingeweza kufikisha ujumbe bila kutumia matusi!.

Modes please funika tuu hayo maneno, msifanye kosa la kutoa ban ili mjadala uendelee maana una issue kubwa imejificha ndani yake, kama Mwahalisi wameipata wapi?.

Najua zipo mada za MMKJJ huwa anazipost humu na kule Mwanakijiji.com na kutoa ruhusa zidurufiwe na kutumika popote bila kubadili chochote!. Sasa kama hii aliituma TD pekee, tunatakiwa kujua MH walipata wapi na kwa kwanini walibadili!.

Sio siri magazeti yote mawili nilinunu na sikuisoma hii makala, lakini sasa baada ya mjadala huu nitaisoma kote ili nami nijaribu ku make sense ya ulichoona Waberoya kama ndicho ili tukusupport mkuu kachemsha ila endapo ni MH ndio wamechakachua, then be bold enough to say sorry to MMKJJ kwa tuhuma za headline
 
Mkuu Waberoya, kwanza pole kwa yaliyokukuta lakini bado ingeweza kufikisha ujumbe bila kutumia matusi!.

Modes please funika tuu hayo maneno, msifanye kosa la kutoa ban ili mjadala uendelee maana una issue kubwa imejificha ndani yake, kama Mwahalisi wameipata wapi?.

Najua zipo mada za MMKJJ huwa anazipost humu na kule Mwanakijiji.com na kutoa ruhusa zidurufiwe na kutumika popote bila kubadili chochote!. Sasa kama hii aliituma TD pekee, tunatakiwa kujua MH walipata wapi na kwa kwanini walibadili!.

Sio siri magazeti yote mawili nilinunu na sikuisoma hii makala, lakini sasa baada ya mjadala huu nitaisoma kote ili nami nijaribu ku make sense ya ulichoona Waberoya kama ndicho ili tukusupport mkuu kachemsha ila endapo ni MH ndio wamechakachua, then be bold enough to say sorry to MMKJJ kwa tuhuma za headline

Utathibitishaje kuwa Mwanahalisi ndio waliochakachua?
 
Utathibitishaje kuwa Mwanahalisi ndio waliochakachua?
Hata kama sio wao, si wataeleza source yao, kuwa wameipata wapi hii version mpya!...
Lakini hata kabla ya kumpata mchawi, the fact ni kwamba itakuwa imejulikana kuwa Version ya WAABEROYA ni ile distorted one, na hivyo haifai kutumika kwa lawama kwa MMMK...
 
Hata kama sio wao, si wataeleza source yao, kuwa wameipata wapi hii version mpya!...
Lakini hata kabla ya kumpata mchawi, the fact ni kwamba itakuwa imejulikana kuwa Version ya WAABEROYA ni ile distorted one, na hivyo haifai kutumika kwa lawama kwa MMMK...

Kwa sababu MMK amesema au?
 
Kwa sababu MMK amesema au?
Nadhani la msingi katika hili ni kuwa kwa MMM kusema kuwa hakupeleka makala MH bali TD, na mleta hoja kakiri kuwa zipo tofauti tayari kuna "reasonable doubt" kuhusu tuhuma/shutuma zilizoletwa hapa. Naamini ni suala la mleta hoja sasa (kupitia MH) kutuonesha/kututhibitishia kuwa makala anayoizungumzia iliandikwa na MMM bila ya kubadilishwa na MH.

Hata hivyo naelewa msingi wa swali lako kwa Pasco hapo juu...yaani kwa kusoma tu makala hizo mbili ya TD na ile ya MH, msomaji sio rasihi kujua ipi imechakachuliwa (kama ipo) ama zote mbili zimeandikwa na mtu mmoja. MMM keshasema (inagwa sio "under oath"!) hakutuma makala hiyo MH, so wanaoweza "kumfunga" katika hili ni MH na sio msomaji.
 
Back
Top Bottom