GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,548
- 108,882
IGP Sirro umeona mbali sana na GENTAMYCINE nakupongeza kwa Kuomba 'Ushirikiano' wa Kiuzoefu na Kiuweledi kutoka kwa Jeshi bora la Polisi Afrika la Rwanda nchi iliyobarikiwa kama ilivyobarikiwa nchi ya Israeli.
Kwakuwa IGP Sirro wa TP ameanza nawaomba na akina Msuya wa SSIT na Mabeyo wa ZTWJ nao wasione 'aibu' kuomba kupata 'Ushirikiano' wa 'Kiujuzi' na Taasisi kama zao zilizoko nchini Rwanda (Israeli ya Afrika)
Na hata Mheshimiwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan jitahidi sana uwe karibu 'Kiushirikiano' na Rais wa Rwanda 'Shujaa wa Uchumi, Teknolojia na Maendeleo' Mheshimiwa Paul Kagame.
Na Watanzania wote ipendeni Rwanda.
Kwakuwa IGP Sirro wa TP ameanza nawaomba na akina Msuya wa SSIT na Mabeyo wa ZTWJ nao wasione 'aibu' kuomba kupata 'Ushirikiano' wa 'Kiujuzi' na Taasisi kama zao zilizoko nchini Rwanda (Israeli ya Afrika)
Na hata Mheshimiwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan jitahidi sana uwe karibu 'Kiushirikiano' na Rais wa Rwanda 'Shujaa wa Uchumi, Teknolojia na Maendeleo' Mheshimiwa Paul Kagame.
Na Watanzania wote ipendeni Rwanda.