Tukundane
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 11,455
- 8,248
Kuna kitu kimoja ambacho ninakuunga mkono kwa asilimia zote katika bandiko lako hili ni ushauri wako ulioutoa kwa watu wa Geita kuwa wasimpe kura hata moja Lissu,kwa kuwa anapinga uwanja wa ndege kujengwa nyumbani kwake Chato na kuhamishia mbuga ya wanyama kijijini kwake Chato.
Bonge la ushauri wako huu uwafikie pia wananchi wa mikoa mingine ambao Magufuli hajawafanyia kitu chochote nyumbani kwao wahakikishe hawampi Magufuli hata kura moja.
Bonge la ushauri wako huu uwafikie pia wananchi wa mikoa mingine ambao Magufuli hajawafanyia kitu chochote nyumbani kwao wahakikishe hawampi Magufuli hata kura moja.