ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,042
- 49,727
Baada ya kuripotiwa Kwa habari za mvurugano huko Chadema ambapo Lisu anataka Kumpindua Mwenyekiti Mbowe huku Mbowe akitaka Sugu agombee Urasi Hali ya sintofahamu imezidi kushika Kasi.
Huko Geita, Chadema Wilaya ya Bukombe imeanza kupukutika Kwa Viongozi na Wanachama wake kutimkia Chama pendwa Cha CCM kilichobeba matumaini ya Watanzania chini ya Mwenyekiti wake Shupavu Dr.Samia.
Hii Leo Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dotto Biteko amepokea Wanachama 3 kutoka Chadema kama ishara ya mamia waliomiminika chama Cha Mapinduzi.
=====
Wananchama watatu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Bukombe mkoani Geita, wamehamia Chama cha Mapindizi (CCM) na kupokewa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko.
Wanachama hao wamejiunga CCM leo Jumamosi Desemba 30, 2023 na kupokewa kiongozi huyo ambaye pia ni Mbunge wa Bukombe wakati wa ziara yake mkoani Geita, ambapo wameeleza kuwa wamefanya uamuzi huo kutokana na kujionea jitihada mbalimbali zinazofanywa na Serikali ya kuwaletea wananchi maendeleo wilayani Bukombe ikiwemo ujenzi wa barabara, shule, umeme.
Baada ya kupokea Wanachama hao, Biteko amewakaribisha CCM na kueleza kuwa, chama hicho ni cha watu wote, kinachowaangalia Watanzania na kuwaza maendeleo yao, hivyo amewaasa kuwa wakiwa ndani ya CCM, wajifunze mila na desturi ikiwemo, kusikilizana, kuvumiliana, kuheshimiana na kupendana huku wakati wote mawazo yao yakiwa ni kuwapelekea wananchi maendeleo.
(Imeandaliwa na Elizabeth Joachim)
My Take
Chadema ni Saccos ya waganga njaa na matapeli ,kimbieni mapema rudinj nyumbani kumenoga.
Kazi iendelee
Huko Geita, Chadema Wilaya ya Bukombe imeanza kupukutika Kwa Viongozi na Wanachama wake kutimkia Chama pendwa Cha CCM kilichobeba matumaini ya Watanzania chini ya Mwenyekiti wake Shupavu Dr.Samia.
Hii Leo Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dotto Biteko amepokea Wanachama 3 kutoka Chadema kama ishara ya mamia waliomiminika chama Cha Mapinduzi.
=====
Wananchama watatu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Bukombe mkoani Geita, wamehamia Chama cha Mapindizi (CCM) na kupokewa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko.
Wanachama hao wamejiunga CCM leo Jumamosi Desemba 30, 2023 na kupokewa kiongozi huyo ambaye pia ni Mbunge wa Bukombe wakati wa ziara yake mkoani Geita, ambapo wameeleza kuwa wamefanya uamuzi huo kutokana na kujionea jitihada mbalimbali zinazofanywa na Serikali ya kuwaletea wananchi maendeleo wilayani Bukombe ikiwemo ujenzi wa barabara, shule, umeme.
Baada ya kupokea Wanachama hao, Biteko amewakaribisha CCM na kueleza kuwa, chama hicho ni cha watu wote, kinachowaangalia Watanzania na kuwaza maendeleo yao, hivyo amewaasa kuwa wakiwa ndani ya CCM, wajifunze mila na desturi ikiwemo, kusikilizana, kuvumiliana, kuheshimiana na kupendana huku wakati wote mawazo yao yakiwa ni kuwapelekea wananchi maendeleo.
(Imeandaliwa na Elizabeth Joachim)
My Take
Chadema ni Saccos ya waganga njaa na matapeli ,kimbieni mapema rudinj nyumbani kumenoga.
Kazi iendelee