Akiondoka wanachato watatumia kuanikia mazao na kuchungia plus kuchezea mpiraKodi ya ALMASI ya SHINYANGA ingetumika Shinyanga, mji huo usingekuwa hivyo leo. Uwanja wa chato ni kwa FAIDA binfsi za mkazi mmoja wa chato.
Akiondoka wanachato watatumia kuanikia mazao na kuchungia plus kuchezea mpiraKodi ya ALMASI ya SHINYANGA ingetumika Shinyanga, mji huo usingekuwa hivyo leo. Uwanja wa chato ni kwa FAIDA binfsi za mkazi mmoja wa chato.
Uongo.mumekuwa mkipinga usijengwe kwenye huo mkoa kila kitu kikifanyika Geita mnapinga lakini kikifanyika kwenu kikimanjaro Hapo sawa !!!Uwanja wa ndege tulipiga kelele humu ujengwe Geita mjini
Hamkusikia why? Sasa hivi mnaanza propaganda ngoja muone watu wa Geita kama watakubaliana na huu upuuzi.
Mkoa wowote maendeleo yakienda haitakiwi kupinga ukizingatia kuwa maendeleo hayo yanatokana na sehemu Ndogo tu ya Kodi zinazokusanywa mkoani Kwao Wala sio kwamba wanatumia sehemu ya Kodi zilizokusanywa mikoa mingineHovyo kabisa, inamaana kuwa wale wananchi ambao Magufuli hajajenga uwanja wa ndege kwao,na hajawapelekea mbuga kwao wasimpe kura Magufuli hata moja?, kwa taarifa yako hata hiyo mbuga siyo ya Geita wala Chato imeporwa kutoka mkoa wa Kagera.
Ile ilikuwa mikataba ya madini ya kinyonyaji pesa zote ziliondoka kwenda nje nchi na watu wa shinyanga walikuwa hawaambulii kituKodi ya ALMASI ya SHINYANGA ingetumika Shinyanga, mji huo usingekuwa hivyo leo. Uwanja wa chato ni kwa FAIDA binfsi za mkazi mmoja wa chato.
Tumpe rungwe atupatie ubwabwa, wewe tangu ndege zimenunu;iwa, unajua kama zina faida ama hasara?Lissu na CHADEMA wamekuwa wanapinga wazi uwepo uwanja wa ndege Chato ambao ni Mji wa Geita.
Wanaona wana Geita hawastahili kuwa na uwanja wa ndege pamoja na kuchangia Kodi mabilioni ya pesa za kigeni kupitia migodi mikubwa ya dhahabu Kama Geita Gold Mine nk
Kwa kupinga Geita kuwa Wana Geita hawafai na hawastahili kuwa na uwanja wa ndege wala mbuga kwa sababu kwa Lissu wana Geita hawastahili kupata maendeleo ikiwemo uwanja wa ndege na mbuga nawaomba kwa umoja wenu mnyimeni Lisu kura na susieni mikutano yote y CHADEMA kuonyesha wazi kuchukizwa na Upinzani wao dhidi ya mkoa wa Geita.
Mkoa mzima shikamaneni kwa hili kampeni ifanyike nyumba kwa nyumba kwa mtu kueleza kuwa CHADEMA Ni chama pinzani cha wazi kisichotaka mkoa wa Geita uwe na maendeleo kwa kuutaja kwa jina kabisa. Hata mbuga iliyoanzisha ya wanyama Lissu na CHADEMA hawataki wanaipinga hawataki Geita iwe Mbuga.
Kwa hili wana Geita wote bila kujali chama au itikadi wakiwemo wana CHADEMA walioko Geita ikataeni CHADEMA kwenye sanduku la kura kwa sababu hata kama ni chama chenu lakini kinautenga mkoa wenu wa Geita usiwe na maendeleo kinawatakia mabaya msikipe kura sababu chama kinabidi kipende wanachama wake wote maeneo Yao wapate maendeleo.
Shime shime shime wana Geita asipewe kura Lissu wala CHADEMA
Mobutu mkoa aliojenga ulikuwa hauingixi chochote kwenye pato la Kodi ya Taifa usilinganishe na mkoa wa Geita.Mkoa wa Geita Ni Giant kwenye kuingiza Pato la pesa za kigeni kuliko Singida anakotoka Tundu LisuEti watu wa Geita wasimpe kura?!!, Kwamba Kuna mtu wa Geita ananufaika na huo uwanja?? Hata waliopo chato hawajui maana ya huo uwanja kujengwa pale!!. Ni upuuzi km wa mobuttu huo.
Mwalimu wa mshahara 700,000/- baada ya makato bodi 15% na kodi nyingine anabakiwa na 100,000/- atapanda mata**? sijui MATAGA huwa mnatumia kichwa kipi kuwaza?Ukizipanda hizo ndege ndipo utajua faida ya kupanda ndege tofauti na Basi au daladala
kwa wapenda katiba kuipenda nakuilinda katiba wa geita chato najuwa wengiwenu mnaheshim katiba msiipe kura ccm namgombea wetu japo nami ni ccmLissu na CHADEMA wamekuwa wanapinga wazi uwepo uwanja wa ndege Chato ambao ni Mji wa Geita.
Wanaona wana Geita hawastahili kuwa na uwanja wa ndege pamoja na kuchangia Kodi mabilioni ya pesa za kigeni kupitia migodi mikubwa ya dhahabu Kama Geita Gold Mine nk
Kwa kupinga Geita kuwa Wana Geita hawafai na hawastahili kuwa na uwanja wa ndege wala mbuga kwa sababu kwa Lissu wana Geita hawastahili kupata maendeleo ikiwemo uwanja wa ndege na mbuga nawaomba kwa umoja wenu mnyimeni Lisu kura na susieni mikutano yote y CHADEMA kuonyesha wazi kuchukizwa na Upinzani wao dhidi ya mkoa wa Geita.
Mkoa mzima shikamaneni kwa hili kampeni ifanyike nyumba kwa nyumba kwa mtu kueleza kuwa CHADEMA Ni chama pinzani cha wazi kisichotaka mkoa wa Geita uwe na maendeleo kwa kuutaja kwa jina kabisa. Hata mbuga iliyoanzisha ya wanyama Lissu na CHADEMA hawataki wanaipinga hawataki Geita iwe Mbuga.
Kwa hili wana Geita wote bila kujali chama au itikadi wakiwemo wana CHADEMA walioko Geita ikataeni CHADEMA kwenye sanduku la kura kwa sababu hata kama ni chama chenu lakini kinautenga mkoa wenu wa Geita usiwe na maendeleo kinawatakia mabaya msikipe kura sababu chama kinabidi kipende wanachama wake wote maeneo Yao wapate maendeleo.
Shime shime shime wana Geita asipewe kura Lissu wala CHADEMA
kwa wapenda katiba kuipenda nakuilinda katiba wa geita chato najuwa wengiwenu mnaheshim katiba msiipe kura ccm namgombea wetu japo nami ni ccmLissu na CHADEMA wamekuwa wanapinga wazi uwepo uwanja wa ndege Chato ambao ni Mji wa Geita.
Wanaona wana Geita hawastahili kuwa na uwanja wa ndege pamoja na kuchangia Kodi mabilioni ya pesa za kigeni kupitia migodi mikubwa ya dhahabu Kama Geita Gold Mine nk
Kwa kupinga Geita kuwa Wana Geita hawafai na hawastahili kuwa na uwanja wa ndege wala mbuga kwa sababu kwa Lissu wana Geita hawastahili kupata maendeleo ikiwemo uwanja wa ndege na mbuga nawaomba kwa umoja wenu mnyimeni Lisu kura na susieni mikutano yote y CHADEMA kuonyesha wazi kuchukizwa na Upinzani wao dhidi ya mkoa wa Geita.
Mkoa mzima shikamaneni kwa hili kampeni ifanyike nyumba kwa nyumba kwa mtu kueleza kuwa CHADEMA Ni chama pinzani cha wazi kisichotaka mkoa wa Geita uwe na maendeleo kwa kuutaja kwa jina kabisa. Hata mbuga iliyoanzisha ya wanyama Lissu na CHADEMA hawataki wanaipinga hawataki Geita iwe Mbuga.
Kwa hili wana Geita wote bila kujali chama au itikadi wakiwemo wana CHADEMA walioko Geita ikataeni CHADEMA kwenye sanduku la kura kwa sababu hata kama ni chama chenu lakini kinautenga mkoa wenu wa Geita usiwe na maendeleo kinawatakia mabaya msikipe kura sababu chama kinabidi kipende wanachama wake wote maeneo Yao wapate maendeleo.
Shime shime shime wana Geita asipewe kura Lissu wala CHADEMA
Hizo ndege wanapanda? kuna timu hapo Chato?Lissu na CHADEMA wamekuwa wanapinga wazi uwepo uwanja wa ndege Chato ambao ni Mji wa Geita.
Wanaona wana Geita hawastahili kuwa na uwanja wa ndege pamoja na kuchangia Kodi mabilioni ya pesa za kigeni kupitia migodi mikubwa ya dhahabu Kama Geita Gold Mine nk
Kwa kupinga Geita kuwa Wana Geita hawafai na hawastahili kuwa na uwanja wa ndege wala mbuga kwa sababu kwa Lissu wana Geita hawastahili kupata maendeleo ikiwemo uwanja wa ndege na mbuga nawaomba kwa umoja wenu mnyimeni Lisu kura na susieni mikutano yote y CHADEMA kuonyesha wazi kuchukizwa na Upinzani wao dhidi ya mkoa wa Geita.
Mkoa mzima shikamaneni kwa hili kampeni ifanyike nyumba kwa nyumba kwa mtu kueleza kuwa CHADEMA Ni chama pinzani cha wazi kisichotaka mkoa wa Geita uwe na maendeleo kwa kuutaja kwa jina kabisa. Hata mbuga iliyoanzisha ya wanyama Lissu na CHADEMA hawataki wanaipinga hawataki Geita iwe Mbuga.
Kwa hili wana Geita wote bila kujali chama au itikadi wakiwemo wana CHADEMA walioko Geita ikataeni CHADEMA kwenye sanduku la kura kwa sababu hata kama ni chama chenu lakini kinautenga mkoa wenu wa Geita usiwe na maendeleo kinawatakia mabaya msikipe kura sababu chama kinabidi kipende wanachama wake wote maeneo Yao wapate maendeleo.
Shime shime shime wana Geita asipewe kura Lissu wala CHADEMA
Sera mbadala ni pamoja na matumizi sahihi ya pesa.Mimi mtu akishaanza kuponda miradi iliyofanyika huwa sifurahii. Napenda kusikia sera mbadala - lakini zinazotekelezeka.