Drifter
JF-Expert Member
- Jan 4, 2010
- 4,439
- 4,153
Kaangalie mji unavyokua kwa kasi kaangalie Aina za nyumba zinazojengwa kule Chato hoteli zilizoko kule unaongea utafikiri Chato wanaishi maskini
Chato inakua kwa msukumo wa kawaida wa kiuchumi au kwa nguvu za dola na rasilimali ya umma? Wawekezaji gani wako huko?