Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,510
- 7,755
Hawa watu wakiendekezwa wataendelea kuligawa taifa letu kwa misingi ya kikanda na kikabila hata kwenye nyanja za upelekwaji maendeleo kwa wananchi. Chadema wakiongozwa na Tundu Lisu wamekuwa wakihubiri amani huku wameficha mapanga mgongoni na ukionekana unatetea masilahi ya taifa wanakubatiza kwa jina la Sukuma gang!
Mfano kujengwa kwa uwanja wa ndege, barabara nzuri za lami na hospitali nzuri ya kanda mkoa wa Geita wilayani Chato imekuwa nongwa kubwa sana kwao kana kwamba Geita siyo sehemu ya Tanzania, Tundu Lisu amefanya ziara huko na ametukana sana maendeleo hayo lakini cha ajabu maendeleo hayohayo akiyakuta mkoa wa Kilimanjaro wilaya ya Hai anasifia na kupongeza sana kwamba serikali imefanya vuzuri! Kama siyo ubaguzi wa kikanda ni nini?
Watu hawa wapingwe kwa nguvu zote.
Mfano kujengwa kwa uwanja wa ndege, barabara nzuri za lami na hospitali nzuri ya kanda mkoa wa Geita wilayani Chato imekuwa nongwa kubwa sana kwao kana kwamba Geita siyo sehemu ya Tanzania, Tundu Lisu amefanya ziara huko na ametukana sana maendeleo hayo lakini cha ajabu maendeleo hayohayo akiyakuta mkoa wa Kilimanjaro wilaya ya Hai anasifia na kupongeza sana kwamba serikali imefanya vuzuri! Kama siyo ubaguzi wa kikanda ni nini?
Watu hawa wapingwe kwa nguvu zote.