GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,741
- 109,177
Utakuwaje na Taifa lenye Watu Shupavu ( tena kwa Vijana ) kama unakutana na Kijana wa Kiume kapanda DalaDala kutoka Makonde Mbezi Beach na anashukia Kituo kinachofuata cha Goigi huku akijiona ni Mjanja?
Nilikuwa najiuliza sana tu ni kwanini Vijana wengi wa Kiume Siku hizi ni Wavivu, hawapendi Shuruba ( Taabu ), wanapenda Kujiremba na kufanyiwa Scrub na Massage huko katika Masaluni, wakiongea wanabana Sauti, wanapenda Kujilambalamba Midomo yao, wakiagiza Chips hawali mpaka iwekewe Mayonaizi, wanapenda Kuvaa Suruali Modo na zinazowabana na hupenda kuwa karibu na Mabinti ila kwa nilichokiona leo Mchana nimepata Jibu.
Ngoja Junior wangu akue kue Kidogo ili nami Baba yake GENTAMYCINE nianze Kumlea Kijeshi / Kimedani kama ambavyo Baba yake nililelewa na Babu yake ili huko mbeleni asije kuwa Msukuma Ukuta kama walivyo Vijana wengi waliozaliwa kuanzia Mwaka 1990 na nianavyo huko mbeleni hali itakuwa mbaya mno na si ajabu hata Tanzania tukaja Kuongozwa na Msukuma Ukuta kwani dalili ya Mvua ni Mawingu.
Serikali kwa Kushirikiana na Jeshi ( JWTZ ) tafadhali GENTAMYCINE nawaombeni Tangazeni Mafunzo ya Kijeshi ya JKT ni lazima ili tukiokoe Kizazi cha Vijana wengi wa Kiume wa sasa ambao wanaonekana Kupenda na hata kutamani Kusukuma Ukuta na kufanana na Dada / Mama zao.
Nilikuwa najiuliza sana tu ni kwanini Vijana wengi wa Kiume Siku hizi ni Wavivu, hawapendi Shuruba ( Taabu ), wanapenda Kujiremba na kufanyiwa Scrub na Massage huko katika Masaluni, wakiongea wanabana Sauti, wanapenda Kujilambalamba Midomo yao, wakiagiza Chips hawali mpaka iwekewe Mayonaizi, wanapenda Kuvaa Suruali Modo na zinazowabana na hupenda kuwa karibu na Mabinti ila kwa nilichokiona leo Mchana nimepata Jibu.
Ngoja Junior wangu akue kue Kidogo ili nami Baba yake GENTAMYCINE nianze Kumlea Kijeshi / Kimedani kama ambavyo Baba yake nililelewa na Babu yake ili huko mbeleni asije kuwa Msukuma Ukuta kama walivyo Vijana wengi waliozaliwa kuanzia Mwaka 1990 na nianavyo huko mbeleni hali itakuwa mbaya mno na si ajabu hata Tanzania tukaja Kuongozwa na Msukuma Ukuta kwani dalili ya Mvua ni Mawingu.
Serikali kwa Kushirikiana na Jeshi ( JWTZ ) tafadhali GENTAMYCINE nawaombeni Tangazeni Mafunzo ya Kijeshi ya JKT ni lazima ili tukiokoe Kizazi cha Vijana wengi wa Kiume wa sasa ambao wanaonekana Kupenda na hata kutamani Kusukuma Ukuta na kufanana na Dada / Mama zao.