Wee fuatilia post zake yeye asipopost uganga basi ramli full kudadavua majini na ugangaKilemakyaaro:
Naomba Nithibitishie Kuwa Mshana Jr Ni Mganga Wa Kienyeji Ndugu Yangu
Kiviere Wa Usangi
Ambiyeeere mbona unakimbia kujilindaTrust me hana jibu zaidi ya kukwambia anapenda kupost mambo ya kichawi
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]Trust me hana jibu zaidi ya kukwambia anapenda kupost mambo ya kichawi
Wee fuatilia post zake yeye asipopost uganga basi ramli full kudadavua majini na uganga
Vile ni viapo feki vya kisiasa kwenye mimbari feki inayowakilisha kuzimu... Kiapo cha upadirisho ni cha kiroho baada ya muda mrefu wa miaka mbele ya mimbari takatifuAsante ndugu Mshana. Napenda kujua je kile kiapo wanachopewa wabunge,mawaziri na wengine je nitofauti na hicho alichofanya Dr.Slaa na je impact ni sawa incase ukaenda tofauti? Na je hawa wabunge wanaapa lakin wanafanyatofauti kabisa na wengi wanaapa kila baada ya miaka 5 zaid ya mara moja
Tuwekee majina ya hao mapadri walioacha utumishi wao ndani ya kanisa.
Hivi mnajua nadhiri ya upadri ni tofauti na ndoa!!
Mafunzo ya ndoa si zaidi ya mwezi, lakini mafunzo ya upadri ni miaka kadhaa.
Mapadri hula kiapo chao kwa kulala kifudifudi mbele ya altare, lakini ndoa husimama na kula kiapo na kuvishana pete.
Kisaikolojia ukiacha upadri lazima utaathirika tu achilia mbali kiroho!!
Nafikiri wewe unamfahamu aliyeacha Upadri ni Slaa pekee - Nena Rome kakutane na mapadri walioacha matajiri - ni heri anayeacha kuliko anayebakia halafu mchafuVile ni viapo feki vya kisiasa kwenye mimbari feki inayowakilisha kuzimu... Kiapo cha upadirisho ni cha kiroho baada ya muda mrefu wa miaka mbele ya mimbari takatifu
Huyo jamaa kang'ang'ania uganga na uchawi na mawazo ya mapepo... Kiufupi akli yake imefungwa kumchunguza shetani....nahsi ni msemaji wake kwa hapa tz....!!! Ni heri kushinda ukimchambua Mungu ili watu wamwelewe kuliko kila sku kuamka na habar mpya za mashetaniWee fuatilia post zake yeye asipopost uganga basi ramli full kudadavua majini na uganga
Hebu jaribu kusoma tena kwa makini nilichoandika tangu mwanzo.. Inawezekana kabisa unachangia tu kwa kudandia gari kwa mbele... Nisome tena kifungu kwa kifungu aya kwa aya pengine utanielewaNafikiri wewe unamfahamu aliyeacha Upadri ni Slaa pekee - Nena Rome kakutane na mapadri walioacha matajiri - ni heri anayeacha kuliko anayebakia halafu mchafu
Umeitendea haki ID yako.. Perception creates reality.... Hongera sanaHuyo jamaa kang'ang'ania uganga na uchawi na mawazo ya mapepo... Kiufupi akli yake imefungwa kumchunguza shetani....nahsi ni msemaji wake kwa hapa tz....!!! Ni heri kushinda ukimchambua Mungu ili watu wamwelewe kuliko kila sku kuamka na habar mpya za mashetani
Kiongozi nimeyajua mengi sana kupitia mada hii. Ukweli unajionyesha tena sana tu na hao wanaobeza ni miongoni mwa makundi na wafuasi wa ndio mzee. Lakin Dr Slaa kapoteza muelekeo wa maisha. Achana na wanaobishana na ukweli kuufanya uwe uongokuleta
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]Kiongozi nimeyajua mengi sana kupitia mada hii. Ukweli unajionyesha tena sana tu na hao wanaobeza ni miongoni mwa makundi na wafuasi wa ndio mzee. Lakin Dr Slaa kapoteza muelekeo wa maisha. Achana na wanaobishana na ukweli kuufanya uwe uongo
Mkiitwa madikteta msirushe ngumi!!Ni ubatizo wa moto ambao unaendelea katika awamu ya tano.
mshana jr
I cant believe CHADEMA mnaimba nyimbo zile zile tulizozizowea kuzisikia kutoka kwa wanaCCM dhidi ya Dr Slaa,kisa?kapishana na Mbowe.Ila sishangai,yalianza kwa Dr Kaborou,akaja Wangwe,Zitto akafuatia na sasa ni zamu ya Dr Slaa,nani atafuatia?Oh yeah ni yule atakayepishan na --------- Mbowe.[/Ukweli mtupu