Kwa hilo la makumbusho ya Hayati Magufuli, Rais Samia apongezwe

Wekeni urataribu wa kueleweka tusifanye mambo kwa mapokeo/subjectivity. Ieleweke kama ni utaratibu wa kila kuongozi aliyepita awe na makubusho ili hata wajao watekeleze.

Note: Sipingi suala hili.
 
Ni yale serikali waliosema wanajenga pale dodoms kumuenzi rais aliyefia madarakani, pamoja na wengineo?

Vipi ni mkapa lini tutajenga kule kwao kijijini alikozikwa?
 
Soon utasikua Jpm day du!! Hivi kwenda kuishi Somalia inahitajika kibandiko? (Passport) Matumizi mabaya ya fedha haya ndo mambo yanayoturudisha nyuma miaka nenda rudi mtu akifa tutaenzi life yake if alikuwa smart otherwise tutakutana ahera
 
Kwa hiyo tutegemee kuwa na makumbusho mengi sana nchini, hapa tunasubiria ya Mzee Kikwete, Mwinyi, Samia mwenyewe and the list goes on
Makumbusho ni kwa watu mashuhuri waliofanya mambo makubwa kwa nchi zao katika nafasi zao na kuitikisha nchi kwa kuigusa jamii kwa uchanya ili vizazi vijavyo vije kujifunza kutoka kwao...Ni akili kubwa tu ndizo zinazojengewa makumbusho kama Hayati JK Nyerere na sasa Hayati JP Magufuli.
 
View attachment 2387809

Hapo juu ni Jengo la kisasa la Makumbusho ya Hayati Magufuli likiwa katika hatua za mwisho kwa kukamilishwa kwake.

Mapema leo, Rais Samia ametembelea na kukagua ujenzi wa Makumbusho lile/hayo ili kujionea mwenyewe hatua zilizofikiwa.

Kwa hilo la kumuenzi Hayati Magufuli kwa kumjengea Makumbusho ya kisasa hakika Rais Samia anastahili pongezi za dhati!

Vilevile, Rais Samia ametembelea kaburi la Hayati Magufuli.
Rubbish,kwamba tutakuwa tunakumbuka nini kumhusu Mwendazake?

Nchi hii inapenda Sana kutumia pesa kwenye mambo ya kijinga na kutumia akili vibaya kwa mambo ya hovyo hovyo..
 
kongole kwake,ni aibu nchi kama ghana kutambua mchango wake despite the fact that it was extreme patriotism alafu sisi wenye nchi tukejeli ni aibu sana.
 
Sikuwahi kupongeza hii awamu kwa mambo ya hovyo wanayofanya.Lakini ni kwa hapa naipongeza kwa kumjengea mzalendo tuliyempenda watz 99.9%,aliyepambana na wahuni ambao kwa sasa wameanza kutamba kwenye awamu ya sita na aliyejali masilahi ya nchi na siyo wawekezaji uchwara kama ilivyo sasa.Na nitaenda kufanya ziara hapo siku si nyingi.
 
Sikuwahi kupongeza hii awamu kwa mambo ya hovyo wanayofanya.Lakini ni kwa hapa naipongeza kwa kumjengea mzalendo tuliyempenda watz 99.9%,aliyepambana na wahuni ambao kwa sasa wameanza kutamba kwenye awamu ya sita na aliyejali masilahi ya nchi na siyo wawekezaji uchwara kama ilivyo sasa
Huu ni ukweli mchungu...
Ukauzu wa JPM naukubali sana.
 
Pesa zetu za tozo zinachezewa, kujenga makumbusho ya dikteta, mwizi, katili na muuaji!
Kwa mwizi na cheti fake kama wewe kauli zako siwezi kuzishangaa,maana ndio ulivyolelewa hadi ukapata janga la kupoteza ubinadamu.
 
Makumbusho ya Hayati Magufuli
why-why-tho.gif
 
Kwahiyo humo ndani Kuna vitu Gani Zaid vya kumuenzi Jiwe? Unaweza ambiwa Hilo jengo limegharimu trillion 1.

Huku mnatukamua tozo alafu matumizi yake ndio kama hayo.

Shit hole country!!
 
Back
Top Bottom