Kwa hilo la makumbusho ya Hayati Magufuli, Rais Samia apongezwe

Rubbish,kwamba tutakuwa tunakumbuka nini kumhusu Mwendazake?

Nchi hii inapenda Sana kutumia pesa kwenye mambo ya kijinga na kutumia akili vibaya kwa mambo ya hovyo hovyo..
Wakati wenzio wanasoma wewe ulikua unashinda porini ukila mapera kama ngedere,matokeo yake shule ikakushinda ukaishia kufoji vyeti.Magufuli alivyokutumbua kwa vyeti feki umejenga chuki mpaka kwa kaburi lake . pathetic
 
Wakati wenzio wanasoma wewe ulikua unashinda porini ukila mapera kama ngedere,matokeo yake shule ikakushinda ukaishia kufoji vyeti.Magufuli alivyokutumbua kwa vyeti feki umejenga chuki mpaka kwa kaburi lake . pathetic
Ni matumizi mabaya ya akili na rasilimali,imagine eti unajenga makumbusho ya Mwendazake Ili tujifunze nini hasa?

Mkapa yuko hanoured maeneo mengi Duniani na Afrika na ana Mkapa foundation,sasa huyo Mwendazake for what? Ili tujifunze nini? Udikteta au ukatili au uongo au kipi hasa? Nisaidie wewe mwenye cheti.
 
Hakika Leo mtumishi Nape nnauye atakuwa ana hara kila muda maana mama kamkwaza sana sana
 
Ni matumizi mabaya ya akili na rasilimali,imagine eti unajenga makumbusho ya Mwendazake Ili tujifunze nini hasa?

Mkapa yuko hanoured maeneo mengi Duniani na Afrika na ana Mkapa foundation,sasa huyo Mwendazake for what? Ili tujifunze nini? Udikteta au ukatili au uongo au kipi hasa? Nisaidie wewe mwenye cheti.

Mkuu pole sana unajisumbua bure kutoa ushauri kwa wanasiasa....
 
Kwahiyo humo ndani Kuna vitu Gani Zaid vya kumuenzi Jiwe? Unaweza ambiwa Hilo jengo limegharimu trillion 1.

Huku mnatukamua tozo alafu matumizi yake ndio kama hayo.

Shit hole country!!
Trillioni moja ni ndogo sana kwa makubwa aliyofanya mzalendo jpm.labda kama ingekuwa kwa samia ndiyo tungehoji hiyo trillion
 
To be sincerely honest in my humble opinion without being sentimental of course without offending anyone who thinks differently from my point of view and without hiding any thoughts in my mind and without lies,to the actual truth with my clear open mind and clean heart,expressing what ever is embedded inside me for a long time which I didn't say just because I was nervous.But Today, by gathering all the courage and motivation, I just want to say that I actually feel and think that I have absolutely nothing to say
 
View attachment 2387809

Hapo juu ni Jengo la kisasa la Makumbusho ya Hayati Magufuli likiwa katika hatua za mwisho kwa kukamilishwa kwake.

Mapema leo, Rais Samia ametembelea na kukagua ujenzi wa Makumbusho lile/hayo ili kujionea mwenyewe hatua zilizofikiwa.

Kwa hilo la kumuenzi Hayati Magufuli kwa kumjengea Makumbusho ya kisasa hakika Rais Samia anastahili pongezi za dhati!

Vilevile, Rais Samia ametembelea kaburi la Hayati Magufuli.
Inapendeza!!
 
Back
Top Bottom