1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,969
- 13,848
Kwa huo mwili wako BIG BABA,![]()
wakuu kwa mara ya kwanza najitokeza hapa MMU hii nikutoka na usumbufu niliupata toka kwa wabongo wenzangu baada ya uzi huu.
Kuna siri gani wanaume warefu kupendwa na wanawake wengi?
![]()
wasichana wengi wa kibongo wamekuwa wakinisumbua PM wengine ni wale famous humu ndani majina kapuni. ila msimamo wangu ndo huu mimi nitaoa Rwanda kwa mjomba kagame sijaona binti wa kibongo mwenye sifa na uzuri kama hawa wanyarwanda.
![]()
kwahiyo wadada wa humu wala msijisumbue na PM yangu.
![]()

Joanah ule urafiki wetu ndio basi tena?Mvulana at work
Huko PM wanakufuata uwaoe?
Kwani ukiulizwa hivyo ndo wamekwambia uwaoe na wewe kupenda sifaeti wananiuliza hivi ni mrefu kama hiyo avatar yako. mi huwa cjawajibu maswali yao ya kipuuzi
zibitisha wewe kama si warwanda
SHARIFA mohamed usi panic dada hata hivyo kuna mrejesho wake hapaKwani ukiulizwa hivyo ndo wamekwambia uwaoe na wewe kupenda sifa
Mkazi wa tegeta hawezi kusema HARAFU ......picha zao mkuu.
Harafu huku tegeta nako mkoani mkuu
mbona upo sana tuJoanah ule urafiki wetu ndio basi tena?
aya bana kitambo sana tungekua tumeshafunga ndoa...si unajua urafiki unakua?mbona upo sana tu
hahahhaya bana kitambo sana tungekua tumeshafunga ndoa...si unajua urafiki unakua?