Kwa hili mimi nitaoa Rwanda

Kwa hili mimi nitaoa Rwanda

80af8045a29f23c6301f884b65c2c6ad.jpg



wakuu kwa mara ya kwanza najitokeza hapa MMU hii nikutoka na usumbufu niliupata toka kwa wabongo wenzangu baada ya uzi huu.

Kuna siri gani wanaume warefu kupendwa na wanawake wengi?

0356db117a5cf7eb68b37640672f8fb3.jpg


wasichana wengi wa kibongo wamekuwa wakinisumbua PM wengine ni wale famous humu ndani majina kapuni. ila msimamo wangu ndo huu mimi nitaoa Rwanda kwa mjomba kagame sijaona binti wa kibongo mwenye sifa na uzuri kama hawa wanyarwanda.
ce69cc372788f5a1c40da313c7f19cc7.jpg


kwahiyo wadada wa humu wala msijisumbue na PM yangu.
19a5e297f4afed73441d95cb57e8390d.jpg
Kwa huo mwili wako BIG BABA,
 
Uzeni nchi kwa kufata utupu

Sent from my SM-N9005 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom