Looh huyu binti alievaa miwani namfaham vizuri tuuu,mkuu umeitoa wapi hii picha?Yaani humu ndani unaweza kupona ugonjwa wako hata kwa kusoma tu post za watu.
Ukweli wanyarwanda ni wazuri hasa kutoka ktk kabila la watusi yaani ni wazuri mno.
Kasoro zao hizi hapa
Atakuzalia watoto ila lazima mtoto mmoja aje kuzaa na mtusi mwenzie ikiwa wewe si mtusi pasipo wewe kujua ili mbegu yao isife.
Ni makabila ya wafugaji wana mali hivyo hakikisha kwenu mna mali za kutosha uwe tajiri siyo vihela vya kuhesabia chooni huwapati ng'oo.
Ni wakarimu,wacheshi,wazuri na maumbo ya asili huchoki kuwatazama machoni wanahamasisha hata lile tendo hutahamgaika na michepuko.
Waone hawa kama sampo wapo wazuri kuliko hawa sasa.
Mweeee kwa kweli Mungu ni fundi.![]()
Waambie nafasi zipo huku pm kwangu.![]()
wakuu kwa mara ya kwanza najitokeza hapa MMU hii nikutoka na usumbufu niliupata toka kwa wabongo wenzangu baada ya uzi huu.
Kuna siri gani wanaume warefu kupendwa na wanawake wengi?
![]()
wasichana wengi wa kibongo wamekuwa wakinisumbua PM wengine ni wale famous humu ndani majina kapuni. ila msimamo wangu ndo huu mimi nitaoa Rwanda kwa mjomba kagame sijaona binti wa kibongo mwenye sifa na uzuri kama hawa wanyarwanda.
![]()
kwahiyo wadada wa humu wala msijisumbue na PM yangu.
![]()
HhhhaaaaaTatizo mademu wa kinyarwanda viuno hawana kabisa yaani bora hata gogo linatikisika
Kwani famous anatakiwa awe bikra?...wengine ni famous humu ndani?!
Famous wa humu mbona wanajulikana!!
Ina mana hawa tunawaheshimu kumbe inbox wanataka uwale!!!!
Mkuu nami nilikuwa huko, vp upo huko kimasomo?Nipo hapa Butare Kigali kuna watoto kama Mungu alianzia huku kuumba






unipitieee Mkuu tuka Punguze Maraia wa JiraniAmeshakubaliWanaume wamkoani bwana mna mambo ya ajabu sana na hii yote ni sababu ya kukosa exposer,yani hao ndo umeona ni mademu wakaali,hivi umetembea kweli,hao wa sampuli uloweka hapo pichani mtaani kwetu tu wako zaidi ya 20,na wapo wazuri zaidi ya hao na hyo ni mtaa mmoja tu.kwa taarifa yako afrika mademu wazuri wako TZ,sio rwanda
Ndo maana nachelewa chelewa nikue ili nami niende rwanda![]()
wakuu kwa mara ya kwanza najitokeza hapa MMU hii nikutoka na usumbufu niliupata toka kwa wabongo wenzangu baada ya uzi huu.
Kuna siri gani wanaume warefu kupendwa na wanawake wengi?
![]()
wasichana wengi wa kibongo wamekuwa wakinisumbua PM wengine ni wale famous humu ndani majina kapuni. ila msimamo wangu ndo huu mimi nitaoa Rwanda kwa mjomba kagame sijaona binti wa kibongo mwenye sifa na uzuri kama hawa wanyarwanda.
![]()
kwahiyo wadada wa humu wala msijisumbue na PM yangu.
![]()
eti wadada wa bongo wala msijisumbue na pm yangu....Hahahhaha mkuu umetisha sana