mojave
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 5,570
- 6,433
hahaha umeamua kumwambia ukweliItakuwa wanahisi wewe ni mwanamke mwenzao
Wana maswali ya kipuuzi asee
hahaha umeamua kumwambia ukweliItakuwa wanahisi wewe ni mwanamke mwenzao
Wana maswali ya kipuuzi asee
Hahahah, nimecheka sana, Kisandu anajitekenya na kujicheka😀😀😀Una uhakika wewe sio deogratius kisandu ?
mbona wanafana na WABONDEI wa tanga![]()
wakuu kwa mara ya kwanza najitokeza hapa MMU hii nikutoka na usumbufu niliupata toka kwa wabongo wenzangu baada ya uzi huu.
Kuna siri gani wanaume warefu kupendwa na wanawake wengi?
![]()
wasichana wengi wa kibongo wamekuwa wakinisumbua PM wengine ni wale famous humu ndani majina kapuni. ila msimamo wangu ndo huu mimi nitaoa Rwanda kwa mjomba kagame sijaona binti wa kibongo mwenye sifa na uzuri kama hawa wanyarwanda.
![]()
kwahiyo wadada wa humu wala msijisumbue na PM yangu.
![]()
![]()
wakuu kwa mara ya kwanza najitokeza hapa MMU hii nikutoka na usumbufu niliupata toka kwa wabongo wenzangu baada ya uzi huu.
Kuna siri gani wanaume warefu kupendwa na wanawake wengi?
![]()
wasichana wengi wa kibongo wamekuwa wakinisumbua PM wengine ni wale famous humu ndani majina kapuni. ila msimamo wangu ndo huu mimi nitaoa Rwanda kwa mjomba kagame sijaona binti wa kibongo mwenye sifa na uzuri kama hawa wanyarwanda.
![]()
kwahiyo wadada wa humu wala msijisumbue na PM yangu.
![]()
Ata Mi nimepata shakaUna uhakika wewe sio deogratius kisandu ?
bora umeuliza mkuu,, naon matendo yanaendana ,baada ya kupgw ban atakua kafungua ID mpya c bure…!!Una uhakika wewe sio deogratius kisandu ?
hebu nirudie tena kusoma ulichoandika mbona inanijia tafsiri mbaya hv...!!!!Itakuwa wanahisi wewe ni mwanamke mwenzao
Wana maswali ya kipuuzi asee
hahaha kumbe kisandu kala ban? Kweli mods hawana huruma aisee....bora umeuliza mkuu,, naon matendo yanaendana ,baada ya kupgw ban atakua kafungua ID mpya c bure…!!
Wewe ndiye uliyesema hao ni wanyarwanda. Ujinga mlio nao unatokana na kutotembea nje ya nchi. Siku ukifika Burundi au Uganda ukaona wanawake wa kitutsi utasema ni wanyarwanda kwa sababu ya ujinga wako. Na humu jf mmekuwa mkidanganya na kudanganyika kwa mambo msiyoyajua. Kwa ufupi ni hivi, hao wanawake ni watutsi, wapo Burundi, Uganda na Rwanda. Kama wewe ni mtanzania basi bado ni mgeni ndani ya nchi yako maana kama ni wanawake wenye mvuto wa nje wapo zaidi ya hao.zibitisha wewe kama si warwanda