Kwa hiki kinachoendelea kisichofikia hata robo ya vita, nahamasika kujenga zaidi kijijini, ngoma ikivuma sana ikalipuka tutaishi vichakani kama kuku

Kwa hiki kinachoendelea kisichofikia hata robo ya vita, nahamasika kujenga zaidi kijijini, ngoma ikivuma sana ikalipuka tutaishi vichakani kama kuku

Mnakimbia miji mnakwenda kujificha vijijin mnataka mijini abaki nani wakuwakombolea hii nchi?, hakuna kutoroka, kila mtu abaki maeneo yake, tusione pua ya mtu vijijin, uzuri ni kwamba waoga wote mtarudi mijini mambo yakiwa sawa, tutawatambua tu.

Acha uoga wa kipumbavu
 
Back
Top Bottom