Hayo Mambo yananikutaga sana Mimi (Ni muisilam)
Wajihi wangu ni Mweupe (Brown) Niko na ndevu halafu zile ndefu za kiustadhi kabisa, na huwa navaaga na Baraka Shia (kofia). Watu wamezoea kuniita Mpemba ilhali ni Mnyamwezi Pure wa Tabora.
kwahio huwa nikihudhuria Shughuli za Dini (Misiba /Maulidi) hawakawii kusema Shekh hapo tunaomba Duwa. Hapo ndio shida hutokea sijui kusoma wala kuomba Duwa, Mara nyingi huwa ni kwa kiarabu.
Kiukweli naibikaga sana, uzuri natumiaga mbinu ya kudanganya kifua au Sauti haitoki.
Wajihi wangu ni Mweupe (Brown) Niko na ndevu halafu zile ndefu za kiustadhi kabisa, na huwa navaaga na Baraka Shia (kofia). Watu wamezoea kuniita Mpemba ilhali ni Mnyamwezi Pure wa Tabora.
kwahio huwa nikihudhuria Shughuli za Dini (Misiba /Maulidi) hawakawii kusema Shekh hapo tunaomba Duwa. Hapo ndio shida hutokea sijui kusoma wala kuomba Duwa, Mara nyingi huwa ni kwa kiarabu.
Kiukweli naibikaga sana, uzuri natumiaga mbinu ya kudanganya kifua au Sauti haitoki.