Kwa hii aibu niliyopata, naenda kujifunza Kiingereza

Muonekano wangu umekaa kishua mtu akiniona tu anajua nina hela halafu naongea Kiingereza balaa.

Jana kuna mzungu kaja pharmacy ya mama mkwe kununua dawa sasa mama mkwe Kingereza akipandi akamtuma mtoto aje kuniita, nimefika dukani ile kumuona mzungu tu kimoyo moyo nikajisemea nimekwisha.

Kilichofata najua Mimi na Mungu wangu yes no, yes boss, yaah yaah ndio zilitamalaki hadi mama mkwe akaanza kucheka.

Hii aibu nzito sana. Kweli Mimi ni kiazi
Daaaah we jamaa banaaaaaa
 
Kwahiyo hata cha kuombea maji hujui???

Okay, ngoja nikupe njia rahisi ya kujifunza kingereza, tafuta story book zile za chekechea na pembeni uwe na dictionary jitahidi kusoma vingi uwezavyo alafu jitahidi uwe unaongea na anayejua Kama yupo karibu (sio mpaka uende darasani)
Ahsante
 
Muonekano wangu umekaa kishua mtu akiniona tu anajua nina hela halafu naongea Kiingereza balaa.

Jana kuna mzungu kaja pharmacy ya mama mkwe kununua dawa sasa mama mkwe Kingereza akipandi akamtuma mtoto aje kuniita, nimefika dukani ile kumuona mzungu tu kimoyo moyo nikajisemea nimekwisha.

Kilichofata najua Mimi na Mungu wangu yes no, yes boss, yaah yaah ndio zilitamalaki hadi mama mkwe akaanza kucheka.

Hii aibu nzito sana. Kweli Mimi ni kiazi
Tangia nianze kuingia jf miaka yangu yote wewe ndo kiumbe wa kwanza kunifanya nicheke kwa sauti hadi watu wakanigeukia

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
TUNAFUNDISHA ENGLISH COURSE

Tunafundisha English course kwa madaraja yafuatayo
1. Beginners class
  • Level one
  • Level two
  • Level three
2. Intermediate class
  • Level one
  • Level two
3. Advanced class
  • Level one
  • Level two
  • Level three
Beginners class ni shilingi 150,000 @50,000 kila level

Intermediate class ni shilingi 150,000@ 75,000 kwa kila level

Advanced class itategemea na mwanafunzi anataka kuwa mahsusi kwenye nyanja ipi kati ya
  • Fasihi
  • Historia
  • Saikolojia

Tunafundisha home tuition au kufika kituoni Kiluvya, Gogoni. Wote mnakaribishwa.

0743123946, 0684436954
 
Muonekano wangu umekaa kishua mtu akiniona tu anajua nina hela halafu naongea Kiingereza balaa.

Jana kuna mzungu kaja pharmacy ya mama mkwe kununua dawa sasa mama mkwe Kingereza akipandi akamtuma mtoto aje kuniita, nimefika dukani ile kumuona mzungu tu kimoyo moyo nikajisemea nimekwisha.

Kilichofata najua Mimi na Mungu wangu yes no, yes boss, yaah yaah ndio zilitamalaki hadi mama mkwe akaanza kucheka.

Hii aibu nzito sana. Kweli Mimi ni kiazi
 
Wala sio aibu na usijione wewe ndio mwenye jukumu la kujua kiingereza, hata huyo mzungu naye inabidi ajifunze kiswahili mbona wenzake nyomi huku street wanaongea hadi kinyakyusa??
 
Hayo Mambo yananikutaga sana Mimi (Ni muisilam)

Wajihi wangu ni Mweupe (Brown) Niko na ndevu halafu zile ndefu za kiustadhi kabisa, na huwa navaaga na Baraka Shia (kofia). Watu wamezoea kuniita Mpemba ilhali ni Mnyamwezi Pure wa Tabora.

kwahio huwa nikihudhuria Shughuli za Dini (Misiba /Maulidi) hawakawii kusema Shekh hapo tunaomba Duwa. Hapo ndio shida hutokea sijui kusoma wala kuomba Duwa, Mara nyingi huwa ni kwa kiarabu.

Kiukweli naibikaga sana, uzuri natumiaga mbinu ya kudanganya kifua au Sauti haitoki.
acha kufuga madevu km waarabu, huta aibika tena
 
Muonekano wangu umekaa kishua mtu akiniona tu anajua nina hela halafu naongea Kiingereza balaa.

Jana kuna mzungu kaja pharmacy ya mama mkwe kununua dawa sasa mama mkwe Kingereza akipandi akamtuma mtoto aje kuniita, nimefika dukani ile kumuona mzungu tu kimoyo moyo nikajisemea nimekwisha.

Kilichofata najua Mimi na Mungu wangu yes no, yes boss, yaah yaah ndio zilitamalaki hadi mama mkwe akaanza kucheka.

Hii aibu nzito sana. Kweli Mimi ni kiazi
Kujua, haujui ni karama waliyopewa watu wachache Sana Duniani.... Wanaoukubali ukweli kwamba wanachangamoto inayo wakabili na kutafuta namna ya kuikabili.

Karama hii imetoa watu wengi wenye mafanikio makuu, nitakukuta upande wa pili wa upinde wa mvua.
 
Muonekano wangu umekaa kishua mtu akiniona tu anajua nina hela halafu naongea Kiingereza balaa.

Jana kuna mzungu kaja pharmacy ya mama mkwe kununua dawa sasa mama mkwe Kingereza akipandi akamtuma mtoto aje kuniita, nimefika dukani ile kumuona mzungu tu kimoyo moyo nikajisemea nimekwisha.

Kilichofata najua Mimi na Mungu wangu yes no, yes boss, yaah yaah ndio zilitamalaki hadi mama mkwe akaanza kucheka.

Hii aibu nzito sana. Kweli Mimi ni kiazi
Daah!nimejikuta nacheka sna chief...kwamba ukajiona tayar umekwisha...haujamalizia nini kilicho endelea...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom