Kwa hii aibu niliyopata, naenda kujifunza Kiingereza

Dr Msweden

JF-Expert Member
Nov 3, 2020
2,632
9,445
Muonekano wangu umekaa kishua mtu akiniona tu anajua nina hela halafu naongea Kiingereza balaa.

Jana kuna mzungu kaja pharmacy ya mama mkwe kununua dawa sasa mama mkwe Kingereza akipandi akamtuma mtoto aje kuniita, nimefika dukani ile kumuona mzungu tu kimoyo moyo nikajisemea nimekwisha.

Kilichofata najua Mimi na Mungu wangu yes no,mmmh sir,yes boss, yaah yaah,ndio zilitamalaki hadi mama mkwe akaanza kucheka.

Hii aibu nzito sana. Kweli Mimi ni kiazi
 
Kwani kingereza ndo nn yan watu kibao wanaishi Europe na hawajui hata hicho kingereza sembuse sisi wa Tz? Mtu yuko Amsterdam Yan akitaka kuingia London ni ferry tu hapo masaa kadhaa kaingia Uk ila hajui kingereza wala siyo udhaifu mbona ye mzungu hajiskii udhaifu kutokujua kiswahili
 
Wala sio aibu na usijione wewe ndio mwenye jukumu la kujua kiingereza, hata huyo mzungu naye inabidi ajifunze kiswahili mbona wenzake nyomi huku street wanaongea hadi kinyakyusa??
Umemaliza
 
Muonekano wangu umekaa kishua mtu akiniona tu anajua nina hela halafu naongea Kiingereza balaa.

Jana kuna mzungu kaja pharmacy ya mama mkwe kununua dawa sasa mama mkwe Kingereza akipandi akamtuma mtoto aje kuniita, nimefika dukani ile kumuona mzungu tu kimoyo moyo nikajisemea nimekwisha.

Kilichofata najua Mimi na Mungu wangu yes no, yes boss, yaah yaah ndio zilitamalaki hadi mama mkwe akaanza kucheka.

Hii aibu nzito sana. Kweli Mimi ni kiazi

Kwahiyo mzungu alipata huduma au alikosa
 
Muonekano wangu umekaa kishua mtu akiniona tu anajua nina hela halafu naongea Kiingereza balaa.

Jana kuna mzungu kaja pharmacy ya mama mkwe kununua dawa sasa mama mkwe Kingereza akipandi akamtuma mtoto aje kuniita, nimefika dukani ile kumuona mzungu tu kimoyo moyo nikajisemea nimekwisha.

Kilichofata najua Mimi na Mungu wangu yes no, yes boss, yaah yaah ndio zilitamalaki hadi mama mkwe akaanza kucheka.

Hii aibu nzito sana. Kweli Mimi ni kiazi
Kwahiyo hata cha kuombea maji hujui???

Okay, ngoja nikupe njia rahisi ya kujifunza kingereza, tafuta story book zile za chekechea na pembeni uwe na dictionary jitahidi kusoma vingi uwezavyo alafu jitahidi uwe unaongea na anayejua Kama yupo karibu (sio mpaka uende darasani)
 
Muonekano wangu umekaa kishua mtu akiniona tu anajua nina hela halafu naongea Kiingereza balaa.

Jana kuna mzungu kaja pharmacy ya mama mkwe kununua dawa sasa mama mkwe Kingereza akipandi akamtuma mtoto aje kuniita, nimefika dukani ile kumuona mzungu tu kimoyo moyo nikajisemea nimekwisha.

Kilichofata najua Mimi na Mungu wangu yes no, yes boss, yaah yaah ndio zilitamalaki hadi mama mkwe akaanza kucheka.

Hii aibu nzito sana. Kweli Mimi ni kiazi
Umeshakosa point tatu muhimu kwa mama mkwe.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom