Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
check in time ya wapi
anapiga mbizi hadi Indonesia.
Ngoja azamie then akiibuka anajikuta yuko kigamboni Dar es Salaam
check in time ya wapi
anapiga mbizi hadi Indonesia.
OK GUYS .ME I WILL MISS everyone.
Mi mi hata bila kufanyiwa usaili ninavyo vigezo vyote.hadi upite kwenye usaili.na uyapite majaribu..si unajua utakacholinda si haba ..mwenye tamaa hatopewa ...
Tehe tehe eeh!! Ndio anaondoka hivyo..Ndio unaondoka sasa?
Kwa vile umeishi na sisi kwa wema na ubinadamu sio mbaya tukakuaga kwa mziki.
Wapendwa rafiki wote wa JF nitapotea kwa muda.not less than 9 months.tuombeane uzima kwenye mihangaiko.
Kharika mfumwa! etonga mwenye kana ne mmbora ake? Yetoni!!
nimerudi wajameni..kabla ya muda kuwa mabli an JFni kama vile kwenda jela
karibu mkuu, ila ni temporal au ndio moja kwa moja?
maalumu kabisa kwa celebration ya kurudi kwako
SS lazma niibe moja
ndio moja kwa moja