Hehehe! Chezeiya limbwata ya moshi weye?hivi wewe umekuwaje siku hizi??
24/7 upo hapa??
Namwambia Nitty akuache na ujauzito
hadi ufulie hata hela ya bando la net.
Kharika mfumwa! etonga mwenye kana ne mmbora ake? Yetoni!!hela, chaokadhe? utonga kishamba kana?
Goodmorning mjombake Mwali, umeenda church kweli leo?...Konny mjombake nipo mbona... "hatapungukiwa na kitu"
Afu nna ujumbe wako toka kwa Bishanga!
Lipo konnie, Paw analidai ndio mana linaogopa kulog inn, linapita kama guest tu. Hebu fanya mchakato tumsaidie kulipa deni awe huru...Jamani, bepari la kihaya liko wapi
hadi mabega yametikisika kama nimepitishwa kwenye grid ya taifa.
Lipo konnie, Paw analidai ndio mana linaogopa kulog inn, linapita kama guest tu. Hebu fanya mchakato tumsaidie kulipa deni awe huru...
Chezeiya madeni weye?
Eti elifu 57 jamani! Matofali andika maumivu...sh. Ngapi hizo zinazomkimbiza mtaa?
Ataweza kumalizia matofali kwenye site yangu kweli?
Eti elifu 57 jamani! Matofali andika maumivu...
Kamlipie asee, tunamtegemea awe mc kwenye shughuli ya husn & judgy.Ngoja nikamlipie
bbuzi gani halina hata manyoya?
Kweli nimeingia choo cha kike!
Kharika mfumwa! etonga mwenye kana ne mmbora ake? Yetoni!!