Ivi jamani , naami kama ww ni mtanzania .. Utakua ushachoshwa ,na kukataa tamaa na kinachoendelea bungeni.. Kila siku mambo yaleyale , mambo hayasogi wala hayaendi .. Ni vituko tu..
Matusi ,na vijembe tu.
Wajumbe wamejisahau ,wanatetea maslahi ya vyama badala ya maslahi ya wananchi.
Ivi hakuna sheria inayowaruhusu wananchi kuingilia mchakato huu na kulikataa bunge hili kwa kuiga hata kura. ?
Inshort is too much ..
Kama hatupo tayari kuipata katiba mpya basii tuache tuu,tukiwa tayari tutaipata na kua wepesi kuipata tena iliyo lwa maslahi ya wananchi na sio vyama .