MCHOMEBEDA
Senior Member
- Mar 6, 2014
- 144
- 43
Watu tunashidwa kuelewa,tatizo sio serikali 1 au 2 au 3 au hata majimbo,,,tatizo ni viongozi kukosa uzalendo,uchu wa madaraka na UFISADIIIIIIIIIIIIII
Yote haya sababu ya UKAWA. Wakati akina Lissu, Jussa na Abubakar walipokuwa kwenye kamati ya Kanuni, mambo yalitulia kwa vile wao walikuwa sehemu ya watendaji wa abunge Maalum. Wamemaliza kutunga kanuni sasa wameanza vurugu. Hakika UKAWA ndo tatizo[/QUOTE
Hivi wewe zumbukuku, unataka Katiba ya CCM? Si mkae huko Chimwaga mtunge Katioba yenu......sio kutumia rasilimali za taifa kwa upuuzi wenu huo!
Yote haya sababu ya UKAWA. Wakati akina Lissu, Jussa na Abubakar walipokuwa kwenye kamati ya Kanuni, mambo yalitulia kwa vile wao walikuwa sehemu ya watendaji wa abunge Maalum. Wamemaliza kutunga kanuni sasa wameanza vurugu. Hakika UKAWA ndo tatizo
Laiti ungeelewa hiyo sentensi yangu usingekurupuka kuichangia..........haya tuambie kati ya HIRIZI, ROZARI na TASBIHI kipi TANGANYIKA, ZANZIBAR na TANZANIA? :eyebrows::eyebrows::eyebrows:
Wewe siku zote huna hoja. Kazi ya kupiga debe tu mambo ya akina Mbowe
Watu tunashidwa kuelewa,tatizo sio serikali 1 au 2 au 3 au hata majimbo,,,tatizo ni viongozi kukosa uzalendo,uchu wa madaraka na UFISADIIIIIIIIIIIIII
Yote haya sababu ya UKAWA. Wakati akina Lissu, Jussa na Abubakar walipokuwa kwenye kamati ya Kanuni, mambo yalitulia kwa vile wao walikuwa sehemu ya watendaji wa abunge Maalum. Wamemaliza kutunga kanuni sasa wameanza vurugu. Hakika UKAWA ndo tatizo
Awamu ya laana hii!
Ni kweli kabisa mkuu....tunafanyaje sasa...viongozi wa zanzibar ndio wamelianzisha hili kwa kutunga katiba yao...wakijitia wazanzibar ndio wanataka nchi yao....literally ndio wametufikisha hapa sasa...maamuzi magumu yafanyike kwa manufaa ya Tanzania...
Nimebahatika kusoma michango mingi sana hapa Jamvuni juu ya suala zima la bunge la katiba na mambo mengine yanahusiana na mchakato mzima wa katiba mpya.
Nilichogundua ni kwamba wange wetu hatujaridhishwa na mchakato mzima unavyoenda, Tulikua na matarajio makubwa sana baada ya kuundwa kwa hili Bunge na kupatikana kwa mwenyekiti wa kasi na viwango kama alivyojinadi mzee wangu sitta.
Kutokana na kutoridhika na mwenendo mzima wa hili Jambo hasa baada ya hotuba ya mheshimiwa raisi tumeishia kulalamika kwenye mitandao na vyombo vingine vya habari.
ooh sijui wanakula kodi zetu bure, ooh raisi amelazimisha matakwa ya ccm ya serikali mbili, ooh sitta anachemka. haya yote yataishia humu kwenye mitandao na itakua ubatili mtupu.
Lets make steps!!! Tuanzishe bunge la wananchi
Yote haya sababu ya UKAWA. Wakati akina Lissu, Jussa na Abubakar walipokuwa kwenye kamati ya Kanuni, mambo yalitulia kwa vile wao walikuwa sehemu ya watendaji wa abunge Maalum. Wamemaliza kutunga kanuni sasa wameanza vurugu. Hakika UKAWA ndo tatizo
Kushindwa kufahamu tatizo ni tatizo zaidi.
Mgeni aliyealikwa alichaua hali ya hewa kwa makusudi au kwa uzembe na hata sasa hatma ya upatikanaji wa Katiba uko mashakani.
Kushindwa kufahamu tatizo ni tatizo zaidi. Mh. Pandu Kificho yeye alisoma majira ya nyakati akajaribu kutengeneza mambo kwa kuwa nia yake ilikuwa haijachakachuliwa na wenye ofisi kubwa bila kujua matumizi ya ofisi hizo. Kwa kiwango kikubwa hadi wakati wa uwasilishaji wa rasimu mambo yalikuwa yameanza kwenda sawa kwa mtindo wa maridhiano. Aliyeleta machafuko kwenye bunge hili la Katiba ni Mgeni aliyealikwa kulifungua bunge. Mgeni huyo hakwenda kujenga mshikamano bali alimwaga ----- watu wakabaki wanajikuna na hata wale wenye nia ovu wakapewa bakora na marungu kwa kauli ya mgeni. Ukweli ni kuwa Mgeni aliyealikwa alichafua hali ya hewa bungeni ama kwa makusudi au kwa uzembe na hata sasa hatma ya upatikanaji wa Katiba uko mashakani.
Huwezi kuvaa HIRIZI , ROZARI na TASBIHI kwa wakati mmoja!