Incredible
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,031
- 1,604
Nasikiliza bunge la katiba live. Eh hiyo fujo inayoendelea utafikiri watoto wadogo!!! Hii rasimu ya katiba itapatikana kweli?
Katiba ni kitu kikubwa mno, huwezi kukipata wakati rais mwenye hila na dhaifu yupo madarakani. Hapatakuwa na katiba nakama wakilazimisha basi itapingwa the same week.