Kwa dalili hizi, hakuna Katiba Mpya!

Kwa dalili hizi, hakuna Katiba Mpya!

Jenga hoja kwa kuzingatia utaifa, yani uepuke kuwagawa wana jf na pengine wananchi kwa misingi ya kisiasa.

Sidhani kama nimewagawa wanaJF/Wananchi, labda uniambie nimewagawaje!
 
Sidhani kama nimewagawa wanaJF/Wananchi, labda uniambie nimewagawaje!

UKAWA ni nini? Je, unapowapakazia ukawa kua wanakwamisha mchakato huoni kua wananchi wanagawanyika kwa wengine kuwaamini na wengine kuwachukia?
 
CCM wamechoka na amani kutokana na ulevi wa madaraka wanayojihakikishia kwa ubabe utokanao na ujinga wa Watanzania na udhaifu wa katiba.

Inasikitisha sana kuona waziri mkuu naye anaanza kwenda kwenye media ku campaign uuuu mawazo yake. Eti waziri asipokuwa mbunge hatakuwa responsive kwa matatizo ya wananchi. Hivi TTTanznia inaongozwa nna system yaa aina gani ?

Yaani hawa jamaa wanaona wananchi ni wajinga kabisa. Wanadhubutuje kupinga mawazo ya wananchi? Yaani kila jambo ambalo hawalitaki wanataka liondolewe. Kisha eti ni mazoea. Nilimsikia Kikwete anasema eti wananchi wamezoea kusikia waziri akijibu maswli bungeni sasa km hakutakuwa tena na utaratibu huo eti wananchi watakosa uhondo wa bunge. kweli! Tunanchotaka ni kuona waziri anabanwa au ni ufanisi? Eti hii ndio hoja ya mkuu wa nchi kupinga mawaziri kutokuwa wabunge. By the way hivi ni nini wananchotaka kibaki kwenye rasimu ambacho wao wanakipenda?
 
Marcus Albanie anatoa uchambuzi wa kina sana. Kwa kifupi anawaponda CCM na serikali kwa ujumla kwa jinsi wanavyotaka kuhodhi mchakato wa katiba.
 
UKAWA ni nini? Je, unapowapakazia ukawa kua wanakwamisha mchakato huoni kua wananchi wanagawanyika kwa wengine kuwaamini na wengine kuwachukia?

Sidhani kama hujui UKAWA kiasi kwamba unahitaji maelezo toka kwangu! Nishauri kama kundi fulani likifanya jambo fulani lisilopendeza, kwa ufahamu wangu, liachwe tu kwa kuhofia "kuwagawa" wananchi?
 
Ukifuatilia waweza ukaumwa na kichwa sugu ambacho kisitibike.
 
1. UKAWA ni nini?
2. Lengo lake ni nini?
3. Thibitisha usemacho kua wanakwamisha mchakato.

1. Walivyopanga kumzomea Rais?
2. Wanavyokataa vyeo kwenye kamati?
3. Wanapotishia kujitoa kwenye mchakato wa kuandaa Katiba Mpya?
 
Sidhani kama hujui UKAWA kiasi kwamba unahitaji maelezo toka kwangu! Nishauri kama kundi fulani likifanya jambo fulani lisilopendeza, kwa ufahamu wangu, liachwe tu kwa kuhofia "kuwagawa" wananchi?

Sasa mkuu, mimi nakuachia jukwaa uendelee na majukumu ya kuitumikia jf lakini fikiria upya kuhusu kauli unazozitoa humu. Alamsiki.
 
Mashaka yako ni sahihi. Nilikasirika sana kasi cha kukaribia kurusha kozi kwa msemaji mmoja wakati akisema upuuzi wake. nikagundua kuwa ilikuwa tu kivuli cha huyo mtu ndani ya tv yangu na anayesema yuko DDM
 
1. Walivyopanga kumzomea Rais?
2. Wanavyokataa vyeo kwenye kamati?
3. Wanapotishia kujitoa kwenye mchakato wa kuandaa Katiba Mpya?

Mkuu, kwa kawaida sina utamaduni wa kubishana kwa kutumia hoja za nguvu. Tuishie hapa kwa leo tena kwa nia njema kabisa ya kutoleta mfarakano miongoni mwetu wana jf.
 
Sasa mkuu, mimi nakuachia jukwaa uendelee na majukumu ya kuitumikia jf lakini fikiria upya kuhusu kauli unazozitoa humu. Alamsiki.

Jamani tuwe tunajadili kwa uhuru na watu tusioshabihiana mawazo na ndio maana tuko hapa Jukwaani!
Kuna watu ukitoa mawazo yako basi utaitwa majina yote sababu kuu ikiwa ni kwamba umetoa hoja wasiyoikubali!
Tunafanya yale yale ambayo Wabunge wa Bunge Maalum la Katiba wanavyofanya, huku tukiwa busy kwenye simu/keyboards kuwalaumu! Tujibu hoja kwa hoja na si kususa kama wengine wafanyavyo!
 
Mkuu, kwa kawaida sina utamaduni wa kubishana kwa kutumia hoja za nguvu. Tuishie hapa kwa leo tena kwa nia njema kabisa ya kutoleta mfarakano miongoni mwetu wana jf.

Okay mkuu, ubarikiwe!
 
Jamani tuwe tunajadili kwa uhuru na watu tusioshabihiana mawazo na ndio maana tuko hapa Jukwaani!
Kuna watu ukitoa mawazo yako basi utaitwa majina yote sababu kuu ikiwa ni kwamba umetoa hoja wasiyoikubali!
Tunafanya yale yale ambayo Wabunge wa Bunge Maalum la Katiba wanavyofanya, huku tukiwa busy kwenye simu/keyboards kuwalaumu! Tujibu hoja kwa hoja na si kususa kama wengine wafanyavyo!

Kumradhi kwa kukutoa nje ya mjadala, naomba uniwekee nukuu niliyokutaja majina.

Halafu ningependa ieleweke tu kua sijasusia hizo unazoziita hoja zako hadi ukanilinganisha na hao wabunge, kawaida yangu hua napenda sana kujadili na watu ninaotofautiana nao kimtazamo na fikra ila kwa kutumia nguvu za hoja na ikitokea zikaanza kutumika hoja za nguvu hua naendelea kua msikilizaji/msomaji zaidi.
 
hakuna matarajio ya kupata katiba mpya tutegemee kupata katiba ya kiccm
 
hakuna matarajio ya kupata katiba mpya tutegemee kupata katiba ya kiccm

Mkuu, umenena vyema, hebu tuwekee viashiria vya kupata katiba ya kichama kama ulivyosema ili na wengine tuelimike zaidi ama kujifunza hatimaye kufumua uozo wote na kurudi kwenye njia sahihi kuelekea katiba ya taifa.
 
Kumradhi kwa kukutoa nje ya mjadala, naomba uniwekee nukuu niliyokutaja majina.

Halafu ningependa ieleweke tu kua sijasusia hizo unazoziita hoja zako hadi ukanilinganisha na hao wabunge, kawaida yangu hua napenda sana kujadili na watu ninaotofautiana nao kimtazamo na fikra ila kwa kutumia nguvu za hoja na ikitokea zikaanza kutumika hoja za nguvu hua naendelea kua msikilizaji/msomaji zaidi.

Okay umesomeka! Je, unafikiri ni kitu gani kinakwamisha mchakato wa Katiba?
 
Back
Top Bottom