Kwa biti la Kagame wasithubutu tena kupeleka vikosi Goma

Kwa biti la Kagame wasithubutu tena kupeleka vikosi Goma

Congo lilipo jeshi jwtz walipateka kwa haraka na kuua Askari wane wa jwtz na kujeruhi wengi na mpaka mda huu hawathubutu kujibu mapigo, na kwa nini Asikari waliuawa wakashindwa kuwafukuza waasi ambao mpaka mda huu wanatawala eneo lote walipo jwtz
Nimeandika humu mkuu wetu wa majeshi ana ndugu Rwanda upande wa baba yake mzazi. nimejibiwa ni stori za kijiweni. Muda utasema time will tell.
 
Hawana nguvu sana kama zamani,PK wa m23 mzee wa msituni kapewa tenda ya kulinda migodi ya wayuesi huko
M23 walipigwa na jwtz wakakimbilia Uganda na vikosi vile vya jwtz vilikuwa imara sana na havikuwa na Asikari wa kike,baada ya hapo M23 wakajipanga upya wakajiandaa wakapata mafunzo makubwa ya kijeshi mazoezi makali walipokuja kwa mara ya pili wakaja na nguvu kubwa wakawaua Asikari wanne wa jwtz na Asikari 14 wa South Africa na kuwajeruhi wengi kuwapora siraha vifaa ni Aibu kubwa kwa Taifa, bora warejee Tanzania kuliko kuishi kwenye eneo la utawala wa waasi wa M23
 
Waasi wa M23 congo wanajiachia watakavyo wanaiba rasilimali zote zote congo kupeleka Rwanda na Uganda pia ipo biashara kubwa ya siraha kwa vikundi vingine vingi vya waasi, sasa kazi ni nyepesi wanakuja kununua siraha ndani ya congo walipo M23 na Rwanda kuingiza mabilioni ya Dola
 
Kagame hanaga mchezo, kule Kongo kapigwa mpaka wazungu.
 
Kagame ni sisimizi tu.

Anatumia propaganda dhaifu za vitisho, kwanza yule tunamtumia MIGAMBO tu wamnyooshe na kakijiji chake cha Rwanda.

JWTZ ni jeshi lenye hadhi ya juu sana haliwezi kushindanishwa na huyo KIJITI mwenye afya GOIGOI.

Huu ndio wakati wa akina Lucas Mwashambwa na migambo wenzake akina ChoiceVariable kuchangamkia fursa na kwenda kumtwanga huyo KIJITI WA RWANDA.
Mkuu kwenye sayansi ya vita hakuna mpiganaji mdogo wala mkubwa, wote wana nafasi sawa ya kushinda. Mfano mzuri angalia vita Urusi na Ukraine. Ndugu sisimizi alimuua Tembo!!!
 
Kagame anaweza kuwatisha watu wengine, lakini Kagame hawezi kuitisha Tanzania, kwamba atapambana nayo achilia mbali kuipiga.

Atakung'utwa asubuhi kweupe, wala Rusumo hatovuka pale.
Bwana kwa udhalilishaji aliokuwa anafanya kuwakagua askari wetu na gwanda zao, aah sina cha kusema. Walipaswa kukataaa udhalilishaji ule.
 
Kama kawaida yake jana Kagame ametoa biti nzito sana kwa wanaoitishia Rwanda kupitia mgoggoro wa Congo.

Kwa dharau sana kawaita nchi za SADC zilizopeleka vikosi vyake Bukavu na Goma " Confused brothers and Sisters" yaaani kaka zetu na dada zetu waliochanganyikiwa.

Hakuwaacha hapo tu, kawaambia mlichokipata safari hii ni sehemu ndogo tu ya mtakachokipata mkijaribu tena kuleta vikosi vyenu kupambana na Rwanda.

Maneno haya ya Kagame ni ujumbe tosha kwa JWTZ kuwa wajikite kwenye professionalism maana CCM wanavyowaingilia mpaka saivi wamekuwa kituko hadi kwa majirani zetu.

Hongereni CCM kwa kuifanya Tanzania saivi kuwa kituko cha karne.
Pamoja na ubovu wetu huu, huyo Bwana Fito anatafuta kutiwa adabu tu atulie.
Ana kitu gani cha kujigamba nacho. Mara hii amesahau alichokivuna wakati ule?

Safari hii kaachwa tu kwa sababu ya masharti yaliyowabana wajeshi; vinginevyo wakati huu angekuwa kimya.
Askari wetu wasielekwe tena kwenye eneo la misuguano wakiwa wanabanwa na masharti ya kuwazuia kutoa kichao stahiki kwa chokonoko zozote.
 
JWTZ Ipo imara mno

Hakuna jeshi east and central afrika la kuikoromea JWTZ!!

Naongea by experience in side!!
Majigambo ni kawaida sana.
Mimi naomba tu kusitokee lolote tukiwa na Amiri Jeshi huyu!. Hili litakuwa ni balaa kubwa sana kwa nchi yetu.
 
Haikwenda jwtz,ilienda sadc na silaha limited,huyo mbu mwenyewe anajua jwtz ni kitu gani
Sasa walikwenda kucheza ngoma?
Utaelekaje askari wako kwenye hali hatarishi huku unakubali masharti ya kiumbavu. Huo ni uongozi?
 
Hayo ni maneno tu kamwe hawezi chezea jeshi imara na lenye nguvu kama jwtz,akumbuke lilikwenda kulinda Amani kwa kivuli cha SADC na sio kwamba maamuzi yalikuwa yanatokea Lugalo,ajaribu kuingia Karagwe au Ngara hata robo kilomita athibitishe maneno yake aone,Ushauri hapa tujihadhari sana kwenye mfumo wa jeshi letu na wanasiasa waliache kabisa lifanye utaratibu wa Ajira zake lenyewe isije ikawa kama Jeshi la Irani ndani yake Kuna MOSSAD,tujihadhari sana na hilo
 
Kagame ni sisimizi tu.

Anatumia propaganda dhaifu za vitisho, kwanza yule tunamtumia MIGAMBO tu wamnyooshe na kakijiji chake cha Rwanda.

JWTZ ni jeshi lenye hadhi ya juu sana haliwezi kushindanishwa na huyo KIJITI mwenye afya GOIGOI.

Huu ndio wakati wa akina Lucas Mwashambwa na migambo wenzake akina ChoiceVariable kuchangamkia fursa na kwenda kumtwanga huyo KIJITI WA RWANDA.
Ccm waongo waongo 2
 
Hayo ni maneno tu kamwe hawezi chezea jeshi imara na lenye nguvu kama jwtz,akumbuke lilikwenda kulinda Amani kwa kivuli cha SADC na sio kwamba maamuzi yalikuwa yanatokea Lugalo,ajaribu kuingia Karagwe au Ngara hata robo kilomita athibitishe maneno yake aone,Ushauri hapa tujihadhari sana kwenye mfumo wa jeshi letu na wanasiasa waliache kabisa lifanye utaratibu wa Ajira zake lenyewe isije ikawa kama Jeshi la Irani ndani yake Kuna MOSSAD,tujihadhari sana na hilo
Tanzania hakuna jeshi ipo tu ccm
 
Kama kawaida yake jana Kagame ametoa biti nzito sana kwa wanaoitishia Rwanda kupitia mgoggoro wa Congo.

Kwa dharau sana kawaita nchi za SADC zilizopeleka vikosi vyake Bukavu na Goma " Confused brothers and Sisters" yaaani kaka zetu na dada zetu waliochanganyikiwa.

Hakuwaacha hapo tu, kawaambia mlichokipata safari hii ni sehemu ndogo tu ya mtakachokipata mkijaribu tena kuleta vikosi vyenu kupambana na Rwanda.

Maneno haya ya Kagame ni ujumbe tosha kwa JWTZ kuwa wajikite kwenye professionalism maana CCM wanavyowaingilia mpaka saivi wamekuwa kituko hadi kwa majirani zetu.

Hongereni CCM kwa kuifanya Tanzania saivi kuwa kituko cha karne.
We una kinyesi kichwani
 
Kwa biti alilowapiga Kagame jana kama wana akili waachane na kuwa majinga ya CCM na waanze kwa kuwakazia kusimamia kweli Katiba CCM waache upuuzi wa kuipeleka Tanzania watakavyo
Kama mnachagua wachekeshaji na machawa wapongezaji, kuingia Bungeni mna jipya gani kuunda jeshi imara lenye technology ya leo ?
 
Back
Top Bottom