Lord Denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 23,491
- 57,959
- Thread starter
- #281
JW ni kama kikundi cha uvccm saivišKwa sasa labda waende UVCCM
JW ni kama kikundi cha uvccm saivišKwa sasa labda waende UVCCM
Mwaka juzi tu hapo waasi wa Msumbini waliingia Mtwara wakateka kijiji wakapiga watu. Kuchoma nyumba then wakaondoka.Achaga stories za zamani. Watu wanaishi leo.
Siku si nyingi utaona Comoro wanaomba ulinzi kwa wazee wa battle Rwanda sio JWTZ tena
Bado hauna hoja.Kama huna akili huwezi kuelewa. Huwezi tenganisha kuanguka kwa JWTZ na kuwa kwao wajinga kwa CCM ( Kuwa sehemu ya ujinga ambao CCM wanaufanya Tanzania)
Kwahiyo ww ni NYUMBA Qeen wa kijaniHaina shida bavicha queen
We mburulula umekunywa gongo umekosa mpka heshima kwa mh rais msnge wwChadema bwanaš¤£š¤£š¤£š¤£
Eti wenyewe wameanzisha hii mada na kukusanyana na kuichangia wakifikiri itawasaidia kumuondoa Samia madarakani Ili aingie chiba wao lissu (mwenye bwana ulaya). Kweli hawa watu ni hamnazo aisee......ndo maana Mama la Mamama, Dr Samia Suluhu Hassan, ukipenda muite The Mother of Modern Tanzania, anaoshia kuwaonyesha dole la kati tu.
Military base Mbona zipo kenya:Mm ni mtu wa Geopolitical hauwezi kunielewa jaji mkaruka:Shida siyo mali, ni malinzipi labda za Kinshasa.
Pili, Marekani hawezi kupogana kitoka Marekani, hapo labda we na military base ambayo ni mgumu.
Unakaza sana fuvu wakati hujui chochote.
Kagame ni mpuuzi kama wapuuzi wengine tu.Nimeangalia hotuba ya kagame Jana akisema Kuna nchi viherehere ambao walishoboka Kule Kongo akawashugulikia na kurudisha wanajeshi wao kwenye masanduku ya milele akasema anaweza ifuata akaipigia ndani nasema hivi jamani huyu mtu msimchokoze mkimchokoza mtakiona kilichomtoa mfanya mtema Kuni ateme Kuni siongei Kwa kubahatisha Rwanda ni Israel ya Africa inadrone na silaha za kisasa nyingi sana na kingine kagame maisha yake yote yupo vitani mkijichanganya na hizo silaha zenu za kizamani mtapigwa mchakae
Haha jw walionya kuna watu wako kwneye serikal si watz, ni raia wa nchi ile lakin gov hawasikii wanakaza fuvuAnasema baada ya kuwatembezea kichapo na wakasalimu amri tukawaonyesha njia ya kurudi kwao vinginevyo tungewamaliza.
Na kweli tuliona wanajeshi wa Tz Jwtz wakisachiwa Rwanda kama wezi wameweka mikono juu alafu wakaonyesywa njia ya kurudi nyumbani
Hahahaha š¤£š¤£š¤£Inabidi tuongeze mazoezi ya kuvunja matofali vifuani.....
Waanze Kutafuna Na Kokoto,,Uvunjaji Wa Matofali Unatosha Sasa...Inabidi tuongeze mazoezi ya kuvunja matofali vifuani.....
Hahahaha š¤£š¤£š¤£š¤£Waanze Kutafuna Na Kokoto,,Uvunjaji Wa Matofali Unatosha Sasa...
Kagame sio mtu mzuriHaha jw walionya kuna watu wako kwneye serikal si watz, ni raia wa nchi ile lakin gov hawasikii wanakaza fuvu
Buy the time tukiingiw kwenye conflict na hao jamaa tayar watakuwa na siri za nchi hii almost zote
Ni element ya incompetence inayoendelea sasa
Kagame sio mtu mzuriAnasema baada ya kuwatembezea kichapo na wakasalimu amri tukawaonyesha njia ya kurudi kwao vinginevyo tungewamaliza.
Na kweli tuliona wanajeshi wa Tz Jwtz wakisachiwa Rwanda kama wezi wameweka mikono juu alafu wakaonyeshwa njia ya kurudi nyumbani