Kwa biti la Kagame wasithubutu tena kupeleka vikosi Goma

Kwa biti la Kagame wasithubutu tena kupeleka vikosi Goma

kagame ametafuta ukuu wa kanda kwa muda mreefu.hatimea anaonekana kufanikiwa kwa kasi zaidi. na hapo anageukia burundi.kwa kupitia huyu.anaetaka kupambana na serkali kwasababu ya kuibiwa kura.
naona anatumia mbinu.za kufadhili ugaidi kwenye ukanda huu.
kwa upande wa uganda kule ni familia tayali.
Hahahaha
 
Ukiacha uchonganishi, hayo unayoyaongelea si kweli. Alisema, walichokipata,ni kitu kidogo tu kwa walichostahili. Ni kina nani? Wapi ulisikia akiongelea kina furani? Au ndo ile kujishuku!
 
JWTZ walikwenda kama SADC na siyo TZ. Jeshi likienda kama UN au SADC huwa linafuata sheria zao na hawaruhusiwi kujibu mapigo mpaka kwa ruhusa maalumu.

Ikiwa hodari basi aje avamie Tz aone kama huo mkoa wake wa Rwanda utabaki mkoa au wilaya.
Jipige kifuani alafu jiambie Mimi ni mjinga
 
JWTZ Ipo imara mno

Hakuna jeshi east and central afrika la kuikoromea JWTZ!!

Naongea by experience inside!!
Ahahahaha napingana na wewe kwenye hili,vita inajumuisha vitu vingi sana,pamoja na siasa ya vita,Kagame yuko mbali sana kwenye intelejensia ya vita pamoja na siasa ya vita
 
Lazima umuweke samia Ili roho iridhike,wakati jeshi no la sadc na aliyeamua silaha gani ziende ni mwenye nchi
Samia ndo alikuwa mwenyekiti wa Troika,kama unajua maana ya Troika na kazi yake basi utajua Samia ni empty set
 
Kagame anaweza kuwatisha watu wengine, lakini Kagame hawezi kuitisha Tanzania, kwamba atapambana nayo achilia mbali kuipiga.

Atakung'utwa asubuhi kweupe, wala Rusumo hatovuka pale.
Siyo kweli , Rwanda defence force ndiyo "IDF"ya afrika mashariki na kati😃
 
Ahahahaha napingana na wewe kwenye hili,vita inajumuisha vitu vingi sana,pamoja na siasa ya vita,Kagame yuko mbali sana kwenye intelejensia ya vita pamoja na siasa ya vita
Hana uo uwezo unaompa siraha zote ili azipate zinapita tz au Kenya

Hata akibeba kwenye ndege Rada zinammulika tu kiufupi yupo uchi tu

Mtu mwenye uwezo kivita uwa haongei Sana!!
 
Hana uo uwezo unaompa siraha zote ili azipate zinapita tz au Kenya

Hata akibeba kwenye ndege Rada zinammulika tu kiufupi yupo uchi tu

Mtu mwenye uwezo kivita uwa haongei Sana!!
Hapana kuongea pia ni njia moja wapo ya vita,unakumbuka wakati anampiga mkwara South Africa,tayari wakati huo keshajua kawashika mateka askari wa South Africa,kwa hiyo Raisi wa South Africa angebweka kidogo tu jamaa alikuwa anachinja wote,Kagame ni terrorist,unakumbuka jinsi alivyowapiga wanajeshi wetu pale Sudani kwa kutumia mamluki wa Janjaweed,Kagame ni muuaji mkubwa ana asiyejali na anapewa nguvu na Israeli pamoja na USA,maana yupo analinda interest zao
 
Kama kawaida yake jana Kagame ametoa biti nzito sana kwa wanaoitishia Rwanda kupitia mgogoro wa Congo.

Kwa dharau sana kawaita nchi za SADC zilizopeleka vikosi vyake Bukavu na Goma " Confused brothers and Sisters" yaaani kaka zetu na dada zetu waliochanganyikiwa.

Hakuwaacha hapo tu, kawaambia mlichokipata safari hii ni sehemu ndogo tu ya mtakachokipata mkijaribu tena kuleta vikosi vyenu kupambana na Rwanda.

Maneno haya ya Kagame ni ujumbe tosha kwa JWTZ kuwa wajikite kwenye professionalism maana CCM wanavyowaingilia mpaka saivi wamekuwa kituko hadi kwa majirani zetu.

Hongereni CCM kwa kuifanya Tanzania saivi kuwa kituko cha karne.
Saa ii tz tuna geshi la ccm ambalo kiukweli halina moja wala 2, linauwezo wa kupiga wanainji wake tu na sio adui. Hongereni chama tawala
 
Jeshi lenyewe lipo kutetea CCM Bora Kagame alipige tu. Watu wanatekwa na kuuawa mchana kweupe jeshi lipo kimya. Kiboko yao Kagame kawanyoosha huko Goma wakakimbia.
 
Hawezi puuza ushauri wa jwtz kwenye operations za jwtz, muongo mkubwa,samia alishawahi ongelea restrictions za kutokwenda na silaha za jwtz DRC,wakuu wa majeshi sadc walikutana mara kadhaa kwa hili
Hata wangeenda nazo, wana nini cha kupeleka huko?
 
Back
Top Bottom