Los técnicos
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 3,010
- 2,604
Sura jamii forums unazitaka za nini?
Wewe ni tiss?
Unataka sura nenda Facebook
Wewe ni tiss?
Unataka sura nenda Facebook
Kama ulifungua account ya Facebook miaka 10 iliyopita inamaana ishazeeka. Hivyo sura yako itakuwa imefubaa ndiyo maana hujipostNna kama miaka kumi hivi sijapost picha mtandaoni Facebook
Kama ulifungua account ya Facebook miaka 10 iliyopita inamaana ishazeeka. Hivyo sura yako itakuwa imefubaa ndiyo maana hujipost
Ni kweli
Ila Kuna watu wasio na mvuto
Ndio maana hata shuleni tunafundishwa Adjectives
Mfano Ugly/beautiful
Wee, tema mate chini, kwa sababu aliyempa sura mbaya yule, ndiye aliyekupa sura nzuri wewe.Wale wote wenye muonekano mbovu ndiyo huwa wanajifanya wana maadili mema, eti ndo maana hawapost picha zao mitandaoni.
Lkn ukiwachimbua deep down ndani ya mioyo yao ni kwamba wanatamani nao kufanya hizo show off lkn sura zao mbovu.
Mitandao ndiyo mbadala wa albums za picha mnato tulizokuwa tunaweka majumbani. Sasa wewe hutumii unadai eti una maadili. Maadili konyo!
Sema ukweli tu kwamba una sura ya zamadamu.
hata ww2 ungekuwa na sura kama ya onyango ungepostWale wote wenye muonekano mbovu ndiyo huwa wanajifanya wana maadili mema, eti ndo maana hawapost picha zao mitandaoni.
Lkn ukiwachimbua deep down ndani ya mioyo yao ni kwamba wanatamani nao kufanya hizo show off lkn sura zao mbovu.
Mitandao ndiyo mbadala wa albums za picha mnato tulizokuwa tunaweka majumbani. Sasa wewe hutumii unadai eti una maadili. Maadili konyo!
Sema ukweli tu kwamba una sura ya zamadamu.