Kuweka IPTV Katika Receiver

Chief samahani hizi channel za azam nikiziangalia zinakuwa na kivuli sana hata nimejaribu kuangalia mpira wa simba na lipuli zimekuwa na gizagiza kidogo, shida inaweza ikawa wapi?
ungeweka screenshot ingekuwa vizuri. kivuli kwa maana ya mwanga ni mdogo ama vipi sijaelewa hapa
 
ungeweka screenshot ingekuwa vizuri. kivuli kwa maana ya mwanga ni mdogo ama vipi sijaelewa hapa
quality ya video mkuu yan watu wanafifia usoni huwaoni vizuri, nimekwenda tools>preference>inputs> nikachangua resolution ya Full HD (1080 PH) ila haijasaidia sana
 
Mkuu mkwawa hivi kwenye network stem unaandikaje means Mimi niliandika halotel Kwa uelewa wangu imegoma nisaidie kidogo
unamaanisha kwenye hio vlc? unaandika adresss ya hio tv ubatlyotaka kuplay.

nenda page ya kwanza utazikuta
 
quality ya video mkuu yan watu wanafifia usoni huwaoni vizuri, nimekwenda tools>preference>inputs> nikachangua resolution ya Full HD (1080 PH) ila haijasaidia sana
huwezi ongeza kwa quality ya streaming style hio. ukistream na simu haiwi hivyo?
 
mkuu hata hio kodi uliokuwa unaangalia na kuscratch ni iptv pia. iptv inamaanisha tu internet protocal television au kwa lugha rahisi kuangalia tv kwa kutumia bundle lako la internet.

kuangalia tv kwa internet ili isikusumbue ionyeshe vizuri bila kunata nata unahitaji mambo matatu.
1. server ya uhakika ambayo hizo tv zime hostiwa
2. internet yenye speed ya uhakika kulingana na quality unayoplay
3. internet iwe na ping ndogo.

kwa uzoefu wangu internet nzuri ya kuangalizia tv online ni vodacom 3g na 4g, halotel 3g na tigo, smart, ttcl na smile 4g. 4g zote zina ping ndogo na 3g ya voda na halotel zinajitahidi.

nenda playstore download app inaitwa speedtest kisha pima speed yako. angalia mtandao unaokupa ping chini ya 50ms huo utafaa kustream na download speed angalau mbps kadhaa. ukifanikisha hapa utakuwa umesolve point ya pili na tatu kwenye list hapo juu

point ya kwanza huwezi kusolve wewe bali mhusika mwenye hizo tv alieziweka online. tumia chanell zetu za kitanzania itv na azam tv kama standard, nyingi ukiwa na internet nzuri hazita scratch hivyo zikiwa hazi scratch na unakutana na tv nyengine inascratch inamaana hio tv nyengine itakuwa kwenye server mbovu na sio internet yako.

kwakua ndio unaanza, test hizo za kitanzania kwenye vlc, copy hizo url kisha kwenye vlc click file halafu chagua network stream kisha paste hio url na play (kwa pc). vlc ya simu au mx player pia zina uwezo wa kustream hizo url.
Mkuu asante kwa elim, ninatatzo la sim yangu kuwa na matangazo, yaan nikiwa naangalia kitu over 2min linapita,

Nmejaribu application zote bt hakuna improvement, je unaweza kunisaidia?
 
Kwa mfano ninapofungua apps, kama jf au naangalia mpira, ghafula linatokea tangazo na kuziba inabidi kwanza nliondoe, na inatokea kila baada ya chin ya dk 2
Kama hiv

Screenshot_20180422-151523.jpg
Screenshot_20180422-151218.jpg
 
Vyote hvyo, ila mbaya zaidi nikiwa naangalia mpira, unastukia tu tangazo waaaaaaaa limefunika kioo, aseee inakera balaa
kama ni kote kuna app inafanya hiyo kazi. unatakiwa uitafute uitoe.

1. jaribu kukumbuka tatizo lilianza lini, toa app zote ulizoeka wakati tatizo linaanza

2. jari kwenda setting kisha security kisha device administrator hakikisha kuna device manager tu au app unayoiamini, kama kuna kitu usichokijua untick kisha kitoe

3. nenda setting kisha apps/application manager halafu angalia list ya downloaded apps toa usizozijua.
 
unamaanisha kwenye hio vlc? unaandika adresss ya hio tv ubatlyotaka kuplay.

nenda page ya kwanza utazikuta
Mkuu mkwawa nimedownload mxplayer nimepita hatua zote mwisho napata Majibu hatua ;the link can't play sasa sijui shida iko wapi
 
Back
Top Bottom