Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,708
- 39,789
ungeweka screenshot ingekuwa vizuri. kivuli kwa maana ya mwanga ni mdogo ama vipi sijaelewa hapaChief samahani hizi channel za azam nikiziangalia zinakuwa na kivuli sana hata nimejaribu kuangalia mpira wa simba na lipuli zimekuwa na gizagiza kidogo, shida inaweza ikawa wapi?