Kuweka IPTV Katika Receiver

Kuweka IPTV Katika Receiver

yap na quality full HD au HD kawaida. kwa mechi za Uefa zikiwa zinachezwa ile saa 4 na dk 45 unatumia tu kifurushi cha usiku.

ila sasa hivi inachezwa saa 3 huwezi tumia, mpaka uwe na vifurushi maalum.
Mkwawa vip naweza pata ya wasafitv
 
Hii link ya ITV kwa simu inakubali ila kwa resiva inakataa sijui tatizo nn
 
File hilo lipo kama zip,

Utaliextract ndani utakuta file la bongotv.strm

Utafungua kodi, kwenye video ckick add file then utachagua folder ambalo hilo file la bongotv lipo mfano lipo downloads/bongotv chagua hilo kisha click ok,

Ukiingia kwenye kodi nenda videos kisha utaona folder lile ulilochagua, ukiingia utaona tv zako zote.

Kama njia hii ni ngumu nitajaribu kueka playlist ya mxplayer au lazyiptv


mkuu leo nimeona kwa jamaa ktk server yake ana chanel
star tv
ch 10

hata sijui kazitoa vipi!
 
DSTV, AZAM, STRATIMES Wale wapenzi wa Streaming iwe ni kwenye simu yako au kwenye Pc nina App hizo tatu ambazo tayari zimekwisha lipiwa. Utakapobahatika kuzipata hutolipia chochote kile. Zote hizo ntakutumia kwa 10k tu. Ukitaka moja wapo ni 5k. Bei ni maelewano njoo nikutumie uburudike. Pia kwa wale wanaotumia android box naonganisha Dstv kwa mwaka mzima kwa 20k tu. Pia kwa wale wanaotumia SmartTv naonganisha kwa waka pia kwa 20k tu.
Wewe tapeli tayari ushachungulia fursa na huku?
 
Back
Top Bottom