Kuwahusu Karamagi, Rostam, na wenzao...

but you got the point as to who yona and mramba are,didnt you?ohhh,i forgot you're yona (maro) too!my bad.

Anyway jokes aside,mzee wa breaking news shy,tupatie the latest basi.

ni kweli kuna mambo yanaandalia hapo kwa watu fulani kufika
 
Wapendwa wana JF, naomba mwenye copy ya hotuba ya rais wakati wa kufungua bunge aiweke hapa... haya yote yalitabiriwa if you read that speech between the lines. Aliwaonya viongozi wenzake, akasema wasimuone ancheka ana msimamo na pia aliwaambia tusije laumiana mbele ya safari. Tatizo lililokuwepo ni kwamba wananchi tunataka mambo haraka haraka bila umakini.. mwenzetu JK ana utulivu .. ndio ametuacha tuchonge wewe halafu ndio papu anafanya mambo... pesa za EPA karudisha na sasa wote waliorudisha na ambao hawajarudisha rupango... soma Guardin ya leo kuna mahojiano ya Mkurugenzi wa Mashitaka.. Cha msingi sasa hivi ni kumuunga mkono sio kushangaa.. JK has proved evry one f us very very wrong


Wewe hata habari haijathibitishwa umeshaanza kunyanyua pua JK, JK, JK.......
 
Mkuu FMES upo wapi???
Njoo utupe data angalau kiduchu watu tusuuzike mioyo yetu maana tumekaa tuned hapa lakini hakuna habari nzuri.
 
Wapendwa wana JF, naomba mwenye copy ya hotuba ya rais wakati wa kufungua bunge aiweke hapa... haya yote yalitabiriwa if you read that speech between the lines. Aliwaonya viongozi wenzake, akasema wasimuone ancheka ana msimamo na pia aliwaambia tusije laumiana mbele ya safari. Tatizo lililokuwepo ni kwamba wananchi tunataka mambo haraka haraka bila umakini.. mwenzetu JK ana utulivu .. ndio ametuacha tuchonge wewe halafu ndio papu anafanya mambo... pesa za EPA karudisha na sasa wote waliorudisha na ambao hawajarudisha rupango... soma Guardin ya leo kuna mahojiano ya Mkurugenzi wa Mashitaka.. Cha msingi sasa hivi ni kumuunga mkono sio kushangaa.. JK has proved evry one f us very very wrong

Wewe lazima umetumwa maaana tangu jana unapiga propaganda kwa JK, sisi ni watu wazima tunareasoning zetu tutamsaport tukiwa convinced na sio kutuambiaa........... hoja zako ni kisisim sisim tu. I am mad with you man we changia hoja iliyopo mezani sio kutaka watu wamsapoti JK
 
mkuu fmes upo wapi???
Njoo utupe data angalau kiduchu watu tusuuzike mioyo yetu maana tumekaa tuned hapa lakini hakuna habari nzuri.

mzee fmes anafurahia sana hapo kwa sababu sasa wanatengeneza njia ya yeye mwaka 2010 jamani mwacheni atulize kichwa
 
Mwenzenu sielewi mzee WARIOBA amekuwaje maana mie huwa namuona ni mtu safi tena anapiga vita rushwa na uozo wote wa chama tawala?!:eek:



Warioba mzee wa Mwananchi. Fuatilia kwa makini. Next ni Apson. Bongo hakuna msafi hata mmoja.
 
Sasa ishu ya Warioba hapo ni ipi?
Duh,

Nimetoka kidogo nikakuta topic ishaniacha.

Nimeongea na Mzee Warioba anadai yeye yuko OK.

Lakini nikaongea na watu pale Mahakamani Kisutu wanachonifahamisha ni kuwa mahakamani hakuna shughuli YOYOTE inayoendelea (kitu ambacho si cha kawaida) na kuna uwezekano mkubwa kuna watu wakubwa watafikishwa. Tusubiri tuone,,, wale walio mjini ni vigumu (kwa sasa) kujua kinachoendelea... Labda kama mna watu ndani ya TISS wawahabarishe
 
by the way nimepitia sources mbali mbali naona JF iko mstarui wa mbele kwenye breaking news

sad kule MWANAKIJIJI dot com naona kumedoda ile mbaya

watu wamegoma kujisajjili

hakuna breaking news zozote zile

hakuna maendeleo yoyote ile

kila mtu kawa ngangari na kangangania hiya hiya JF


NA NZURI ZAIDI fmes IS BACK

WHAT MORE CAN WE ASK FOR?
 
Wakuu nipo hapa kwa muuza magazet katika get la kuingilia kisutu nasubiria Warioba na wengineo wakija.Ila mpaka sasanaona nimagari mengi yamejaa na yanaziddi kujaa bila kuona wahusika.litakalojiri nitawaarifu punde wakiwasili MAFISADI HAO
 
Duh,

Nimetoka kidogo nikakuta topic ishaniacha.

Nimeongea na Mzee Warioba anadai yeye yuko OK.

Lakini nikaongea na watu pale Mahakamani Kisutu wanachonifahamisha ni kuwa mahakamani hakuna shughuli YOYOTE inayoendelea (kitu ambacho si cha kawaida) na kuna uwezekano mkubwa kuna watu wakubwa watafikishwa. Tusubiri tuone,,, wale walio mjini ni vigumu (kwa sasa) kujua kinachoendelea... Labda kama mna watu ndani ya TISS wawahabarishe

Okay, sasa mzee Warioba yuko okay kivipi? I mean yuko okay kufikishwa mahakamani au yuko okay kwamba hilo so hahusiki nalo na hivyo hawezi kupelekwa mahakamani?
 
Duh,

Nimetoka kidogo nikakuta topic ishaniacha.

Nimeongea na Mzee Warioba anadai yeye yuko OK.

Lakini nikaongea na watu pale Mahakamani Kisutu wanachonifahamisha ni kuwa mahakamani hakuna shughuli YOYOTE inayoendelea (kitu ambacho si cha kawaida) na kuna uwezekano mkubwa kuna watu wakubwa watafikishwa. Tusubiri tuone,,, wale walio mjini ni vigumu (kwa sasa) kujua kinachoendelea... Labda kama mna watu ndani ya TISS wawahabarishe

Duh,Kaka TISS tena!!!?
 
Duh,

Nimetoka kidogo nikakuta topic ishaniacha.

Nimeongea na Mzee Warioba anadai yeye yuko OK.

Lakini nikaongea na watu pale Mahakamani Kisutu wanachonifahamisha ni kuwa mahakamani hakuna shughuli YOYOTE inayoendelea (kitu ambacho si cha kawaida) na kuna uwezekano mkubwa kuna watu wakubwa watafikishwa. Tusubiri tuone,,, wale walio mjini ni vigumu (kwa sasa) kujua kinachoendelea... Labda kama mna watu ndani ya TISS wawahabarishe

nashukuru kwa taarifa ina maana hii habari iwe on hold basi maaaana naona ni tetesi bado
 
by the way nimepitia sources mbali mbali naona JF iko mstarui wa mbele kwenye breaking news

sad kule MWANAKIJIJI dot com naona kumedoda ile mbaya

watu wamegoma kujisajjili

hakuna breaking news zozote zile

hakuna maendeleo yoyote ile

kila mtu kawa ngangari na kangangania hiya hiya JF


NA NZURI ZAIDI fmes IS BACK

WHAT MORE CAN WE ASK FOR?

Mkuu naomba website ya MWANAKIJIJI.
 
(iv)Gavana Balali aliruhusu na/au kuidhinisha na/au kunyamazia mkopo usio na riba wa Dola za Marekani 5,512,398.55 kwa kampuni ya Mwananchi Gold Co. Ltd. kati ya mwaka 2004 na tarehe 30 Juni 2006. Kati ya fedha hizo, deni la dola 2,807,920 limedhaminiwa kwa dhahabu ghafi ambayo ingenunuliwa kutokana na fedha za mkopo zilizotolewa na Benki Kuu yenyewe! Kwa maana rahisi ni kwamba kampuni ya Mwananchi Gold haijatoa dhamana yoyote inayoeleweka kwa mabilioni ya shilingi ilizokopeshwa na Benki Kuu chini ya Gavana Balali. Kwa taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu, hadi kufikia mwezi Desemba 2006 Mwananchi Gold Co. Ltd. ilikuwa imeshindwa kulipa hata riba ya mkopo huo kwa kiasi cha dola za Marekani 62,847.91. "Katika mazingira haya", inasema barua ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu, "hatukuweza kujiridhisha kwamba deni la dola la Marekani 5512398.55 inalodaiwa (Mwananchi Gold Co. Ltd.) hadi kufikia tarehe 30 Juni 2006 linaweza kulipika." Je, ni kampuni gani hii iliyopewa mamilioni ya fedha za umma katika fedha za kigeni bila kudaiwa riba au kupewa kipindi maalumu cha kulipa mkopo huo? Kufuatana na taarifa za BRELA, Mwananchi Gold Co. Ltd. ni kampuni binafsi ambayo wanahisa wake ni Benki Kuu ya Tanzania yenye hisa 500, Shirika la Maendeleo la Taifa (hisa 500), Mwananchi Trust Co. Ltd. (hisa 1,123) na Chimera Co. Ltd. (hisa 500). Kampuni hii ilisajiliwa kama kampuni binafsi tarehe 12 Desemba 2002. Mawakili wake ni kampuni ya mawakili ya Nyalali, Warioba & Mahalu Associates ikiwashirikisha aliyekuwa Jaji Mkuu wa Tanzania wakati huo marehemu Francis L. Nyalali, Waziri Mkuu wa zamani Joseph Sinde Warioba na aliyekuwa balozi wa Tanzania nchini Italia Profesa Costa R. Mahalu. Wakurugenzi wa Mwananchi Gold ni Joseph Sinde Warioba, Gavana Daudi Balali, Col. J. Simbakalia, Vulfrida Grace Mahalu, Yusuf H. Mushi na raia wawili wa Italia, Paolo Cesari na Patrizio Magrini. Vulfrida Mahalu ni Ofisa Mkuu Mtendaji wa kampuni binafsi ya VMB Holdings (1996) Ltd. na pia ni mke wa Profesa Mahalu ambaye kwa sasa anakabiliwa na tuhuma za kuhujumu uchumi kutokana na madai ya wizi wa zaidi ya shilingi bilioni tatu za Serikali wakati akiwa balozi wa Tanzania nchini Italia! Kanali Simbakalia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Taifa na Yusuf Mushi ni Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni binafsi ya Business Machines Consultants (T) Ltd;

Pitia hii kwa makini utaona uhusiano
 
Back
Top Bottom