Kuwa na cabin ni muhimu sana.

Kuwa na cabin ni muhimu sana.

Tofautisha kati ya kufanya kazi porini na kukaa off-grid kwenye cabin ukiwa unataka kupata utulivu wa Akili.

Kibunda ni muhimu na kina nafasi yake
Maoni yangu, sio lazima ukaishi kwenye. Cabins ili kupata utulivu

Zipo hotel za mtindo huo pia ambapo unaweza kuwa salama (hakuna wanyama wakali) lakini ukapata uhakika wa chakula bila kuishi huko porini

Kwenye kibunda tupo pamoja
 
Mimi siwezi, ila kuna siku nimetoka dukani sijauza hata mia na home sina kila kitu, oyaaa afu konda ananiletea madharau, nilipigana na konda mpk leo najilaumu! Sina dereva kaniamvia nimekopwa nilimpiga na kichupa changu cha maji🫢

Sema nashukuru nimekuwa sikuhizi!
Kumbe "Mkolofii"!!!!!
"Baunza"😎
 
Mimi siwezi, ila kuna siku nimetoka dukani sijauza hata mia na home sina kila kitu, oyaaa afu konda ananiletea madharau, nilipigana na konda mpk leo najilaumu! Sina dereva kaniamvia nimekopwa nilimpiga na kichupa changu cha maji🫢

Sema nashukuru nimekuwa sikuhizi!
Aisee wewe ni mgai gai mpka nje ya jf kumbe?
 
Kuna jamaa aligoma kushuka kwenye daladala akataka kupigana na kondakta kisa konda alimwambia hana 100 ya chenji ,jamaa akagoma akakaa kama dakika 5 hivi konda atafute chenji.
Mwamba kabsa, hela ni yake, lazima afatilie kila cent inaelekea wapi. Nawakubali Sana watu hivi, nidhamu katika Jambo lolote ni muhimu.
 
Sometimes akili inahitaji utulivu relaxation ya hali ya juu ili kuji restart

mijini kilele zimekuwa nyingi sana.

mtu January to Dec uko kwenye kelele lazima uwe mental tu.


View attachment 3665623
Ngoja bwanamiti wakukute unalinda bangi, utagalagazwa mpaka makalio yasinyae.
Nakushauri ununue caravan kwani nayo ina kila kitu ndani.
 
Back
Top Bottom