Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 32,557
- 93,422
Mimi siwezi, ila kuna siku nimetoka dukani sijauza hata mia na home sina kila kitu, oyaaa afu konda ananiletea madharau, nilipigana na konda mpk leo najilaumu! Si na dereva kaniambia nimekopwa nilimpiga na kichupa changu cha maji🫢Kuna jamaa aligoma kushuka kwenye daladala akataka kupigana na kondakta kisa konda alimwambia hana 100 ya chenji ,jamaa akagoma akakaa kama dakika 5 hivi konda atafute chenji.
Sema nashukuru nimekuwa sikuhizi!